Huyu Kazadi ni hatari! Singida Big Stars hapa mmelamba dume

Huyu Kazadi ni hatari! Singida Big Stars hapa mmelamba dume

Hata angefunga 10 kwa namna ile bado nisingempa recognition ya ubora

Haijalishi washambuliaji wangapi wanashindwa ku score kupitia uzembe wa Kipa bado haiondoi maana kuwa magoli ya jana yalisababishwa na uzembe wa kipa
Ubora wake unabaki pale pale na wala haufai kubezwa. Jamaa anaona ni magoli rahisi kwa sababu yamefungwa na mtu anaejua kung'amua makosa ya mabeki na kipa. Tuna maforward wengi hawana hizo akili. Kwa nafasi kama zile ungemuweka Boko angefunga magoli 3 au yote 4 lkn ungemuweka Kibu angefunga1 au asingefunga kabisaa. Kwa upande mwingine ungemuweka Mayele angefunga 3 hata yote 4 lkn ungemuweka Makambo wa sasa huwenda angefunga 1 tu. Tuache kubeza bila ya sababu kwa sababu tu mchezaji anacheza Singida UTD.
 
Yanga waifunge Azam bao 4 uwezo wautoe wapi?
Tena kwa 1? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauko serious wee.
Dada, sijaongelea idadi nimeongelea jinsi ya magoli yaliyofungwa. Angefunga Yanga mngesema uzembe wa makipa au kipa kapewa bahasha?

Na huyo unayemsema hana uwezo ndo' anayeongoza ligi tena kwa points nyingi tu. Na kama haitoshi ndiye bingwa mtetezi. Hao wenye uwezo wako wapi?
 
Back
Top Bottom