Huyu Kazadi ni hatari! Singida Big Stars hapa mmelamba dume

Huyu Kazadi ni hatari! Singida Big Stars hapa mmelamba dume

Huyu jamaa hatari eo kwenye nusu fainali za Kombe la Mapinduzi amefunga goli nne za akili kubwa sana na kufanya jumla ya magoli aliyofunga kuwa tano.

Singida Big Stars hapa mmelamba dume. Ngoja sisi tuwasubiri akina Musonda, Bobosi na Manzoki.
Kabla ya kukubali au kukataa, naomba kujua huyu mchezaji kasajiliwa dirisha hili dogo ama lah?
 
Kabla ya kukubali au kukataa, naomba kujua huyu mchezaji kasajiliwa dirisha hili dogo ama lah?
Yuko kwenye majaribio...anatarajiwa kusajiliwa iwapo ataonyesha kiwango bora.
 
Kuna washambuliaji kibao tu ambao hawawezi kutumia uzembe wa magolikipa. Kuweza kutumia uzembe wa mabeki au golikipa ni kipaji pia. Kufunga sio jambo rahisi hivyo mkuu. Kuna utulivi na shabaha.
Ni sahihi pia kuwa wapo washambuliaji ambao wanashindwa kutumia advantage ya makosa ya kipa

Ila huwezi kutumia madhaifu ya kipa kama kipimo cha kujua mchezaji bora, kwasababu sio mara zote utakutana na situation hiyo hiyo kila mechi
 
Warafute mara ngapi? Mbona washatafuta?

Yale magoli angefunga Yanga, saa hii kungekuwa na nyuzi tano kwamba Yanga anahonga.
Yanga waifunge Azam bao 4 uwezo wautoe wapi?
Tena kwa 1? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauko serious wee.
 
Walitaka wasifunge? Ili ufungwe lazima kuwepo na udhaifu au uzembe. Ingekuwa hivyo timu zingekuwa zinatoka bila kufungana.
Ila magoli yote 4 afunge yeye tu?
Hongera zake tumempa, ila uzembe wa kipa ndo ulifanya yeye afunge, ko akikitana na kipa yuko vizurii ata suffer sana.
 
Ni sahihi pia kuwa wapo washambuliaji ambao wanashindwa kutumia advantage ya makosa ya kipa

Ila huwezi kutumia madhaifu ya kipa kama kipimo cha kujua mchezaji bora, kwasababu sio mara zote utakutana na situation hiyo hiyo kila mechi
Tumpe muda ili tupate takwimu iliyo sahihi
 
Hongera zake tumempa, ila uzembe wa kipa ndo ulifanya yeye afunge, ko akikitana na kipa yuko vizurii ata suffer sana.
Hata hao makipa wazuri unaowaamini hufungwa. Kumbuka wachezaji hucheza kwa ushirikiano kwahiyo suala la kufunga lipo.
Ulikuwa unafikiri kikosi cha Yanga au Simba kitatoka mapema kwenye mapinduzi?
 
Hivi Simba haioni wachezaji wazuri kama hawa akina Kazadi kweli?
Badala yake wanawasajiri akina Okwa.

Kazadi akikaa No 9 pale Simba anatosha kabisa.

Sijui ni kwanini Simba haitaki kusajiri wachezaji wa kutoka Kongo wakati kuna vipaji vingi sana ile Nchi.

Kamati ya Usajiri ya Simba hakika ina kasoro mahali.
 
Premier league kacheza game ngapi kafunga ngapi!?
Nashindwa kumpa credit, goli alizofunga na kiwango alichoonesha bado nampa mechi nyingi ne zaidi.
 
Ni sahihi pia kuwa wapo washambuliaji ambao wanashindwa kutumia advantage ya makosa ya kipa

Ila huwezi kutumia madhaifu ya kipa kama kipimo cha kujua mchezaji bora, kwasababu sio mara zote utakutana na situation hiyo hiyo kila mechi
Magori hufungwa kutokana na makosa ya safu ya ulinzi na kipa wao!!, Hakuna gori linalofungwa bila makosa!!. Kubali jamaa yuko vizuri kacheza ligi kubwa kama, Congo,Egypt na uarabuni...
 
Magori hufungwa kutokana na makosa ya safu ya ulinzi na kipa wao!!, Hakuna gori linalofungwa bila makosa!!. Kubali jamaa yuko vizuri kacheza ligi kubwa kama, Congo,Egypt na uarabuni...
Siwezi kukubali kwasababu umehusianisha vitu viwili ambavyo havina uhusiano

Sio kweli kuwa magoli yanafungwa kwa makosa ya makipa.

Kuna magoli huwezi kumlaumu kipa kwa kushindwa kudaka kwasbabu ukiangalia tu unaona ni uwezo binafsi wa mshambuliaji.

Kipa wa Azam kwenye goli la kwanza alipigiwa back pass na beki wake na mpira ukawa kwenye umiliki wake akiwa golini

Muda huo kuna mshanbuliaji wa Singida akawa anaenda kufanya pressing ili kumlazimisha Kipa aanzishe mpira haraka

Maamuzi ya Kipa yalikuwa ni uzembe kwasababu badala ya kupiga mpira kupasia mabeki kuanzisha shambulizi yeye akataka ustaa akawa anajaribu kumpiga chenga mshambuliaji, ambapo akapokwa mpira na goli kuingia

Huo ni uzembe wakijinga tu unaostahili kukemewa tena kwa adhabu kama ikibidi.
 
Siwezi kukubali kwasababu umehusianisha vitu viwili ambavyo havina uhusiano

Sio kweli kuwa magoli yanafungwa kwa makosa ya makipa.

Kuna magoli huwezi kumlaumu kipa kwa kushindwa kudaka kwasbabu ukiangalia tu unaona ni uwezo binafsi wa mshambuliaji.

Kipa wa Azam kwenye goli la kwanza alipigiwa back pass na beki wake na mpira ukawa kwenye umiliki wake akiwa golini

Muda huo kuna mshanbuliaji wa Singida akawa anaenda kufanya pressing ili kumlazimisha Kipa aanzishe mpira haraka

Maamuzi ya Kipa yalikuwa ni uzembe kwasababu badala ya kupiga mpira kupasia mabeki kuanzisha shambulizi yeye akataka ustaa akawa anajaribu kumpiga chenga mshambuliaji, ambapo akapokwa mpira na goli kuingia

Huo ni uzembe wakijinga tu unaostahili kukemewa tena kwa adhabu kama ikibidi.
Magoli mangapi ya wazi washambiliaji butu wanakosa? goli 4 kwenye mchezo mmoja bado una mashaka nae?
 
Magoli mangapi ya wazi washambiliaji butu wanakosa? goli 4 kwenye mchezo mmoja bado una mashaka nae?
Hata angefunga 10 kwa namna ile bado nisingempa recognition ya ubora

Haijalishi washambuliaji wangapi wanashindwa ku score kupitia uzembe wa Kipa bado haiondoi maana kuwa magoli ya jana yalisababishwa na uzembe wa kipa
 
Back
Top Bottom