Huyu kijana Goodlucky Gosbert anajua sana

kwa-muda

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
2,097
Reaction score
5,348
Ana nyimbo nyingi ila huu wa nipe kukumbuka wema unanibariki sana. Yani nikiusikiliza siwezi kufuru kwa kumlaumu Mungu kwa lolote aisee.
Enjoy kizazi kipya cha Gospel inayopendwa hata wasiyokuwa Wakristo
 
Jamaa nyimbo zake za injili ziko poa sana Audio ila video zake ziko kama Bongo fleva.
 
Wengine wanasema anamtumikia shetani maana kwenye nyimbo zake hajawahi taja jina la Yesu.. ipo thread humu..
Nimeiona hiyo thread ila mimi nyimbo yake hii inanibariki sana
 
Jamaa nyimbo zake za injili ziko poa sana Audio ila video zake ziko kama Bongo fleva.
Sitazamagi video zake huwezi amini hata hiyo video nimetafuta link nikapost tu ila sijawahi itazama coz since day 1 natazama wimbo wake wa kwanza sikupenda alivyokuwa anabinua lips na kuvuta vuta nyusi za macho. So sijawahi tazama video yake yoyote tena mimi audio tu
 
AIMBE NYIMBO ZINAZOKEMEA DHAMBI NDO NTAMUELEWA
ILA HIZI NI KAMA BONGO FLEVA TU
 
Me napenda nyimbo zake ila kuna style fulani hivi anaongea siipendi kabisa..in short sielewi kwa nn anaongea hivo yaan mkenya si mkenya dah...apunguze
 
Jamaa nyimbo zake za injili ziko poa sana Audio ila video zake ziko kama Bongo fleva.
Hamna mlokole hapo. Anatafuta hela tu
AIMBE NYIMBO ZINAZOKEMEA DHAMBI NDO NTAMUELEWA
ILA HIZI NI KAMA BONGO FLEVA TU
Me napenda nyimbo zake ila kuna style fulani hivi anaongea siipendi kabisa..in short sielewi kwa nn anaongea hivo yaan mkenya si mkenya dah...apunguze
Ndio mana Isaka akasema Sauti au audio ni ya Yakobo (Mcha Mungu)..lakini ngozi au muonekano ni wa Esau (asiyemcha Mungu)...kwa kweli utunzi na kuimba yupo talented...Tatizo lipo kwenye Haiba ya kimungu Hana kabisae...mi namshaur aachane na ladha za Bongofleva...unless ahamie huko pia nako kuna fungu nono tuu
 
Ktk uimbaji nawakubali watu wanaoimba kwa staili ya Upendo nkone, Martha mwaipaja, Shusho (wa zamani) na kwaya zote. Waimbaji wengi wa sasa wanazingua ktk uimbaji. Huwezi kufananisha Mabibo Lutheran, au LuLu Mtoni, Kijitonyama, AIC ( zote) na hawa wa kisasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…