Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Haha kuna ule wimbo wake unaitwa Mimi ni muujiza kama sikosei, kuna sehemu anaimba na mdada hivi ana lishepu kama lotee halafu amevaa suruali ya jeans imembanaa basi yule dada hakuna anachofanya zaidi ya kujigeuza geuza kuonyesha shepu lake....nikiangaliaga aibu huwa naona mimi
kabadilika sana hadi havutii tena