Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ukizungumzia gospel na mambo ya kanisa kwa ujumla usimuongelee huyo mkulima bishoo!Kama ule wa Masanja, kemea pepooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukizungumzia gospel na mambo ya kanisa kwa ujumla usimuongelee huyo mkulima bishoo!Kama ule wa Masanja, kemea pepooooo
Unabariki hilo kwa mtu mwenye wafuasi katika kanisa kubwa la kirohoPombe inaongeza urefu wa fikra pevu
ndugu dunia haisimami ndugu yangu ukisimama jua utabaki peke yako kimaendeleo na kifikra #2018 hii siyo 2002Ktk uimbaji nawakubali watu wanaoimba kwa staili ya Upendo nkone, Martha mwaipaja, Shusho (wa zamani) na kwaya zote. Waimbaji wengi wa sasa wanazingua ktk uimbaji. Huwezi kufananisha Mabibo Lutheran, au LuLu Mtoni, Kijitonyama, AIC ( zote) na hawa wa kisasa....
Wengi wanatafuta ela mkuu ila as long as kazi inayomletea ela inawabariki wengine hilo ndilo la muhmu
Weee!Yesu huyu Yesu, hakujitetea kabisa japo walimsema kwa ubaya,aliwasamehee....na wewe uwasamehe ee uwaombee, kwa maana hawayajui wasemayo....aisee
Nini we kadingiWachaaaWeee!
Nini we kadingi
[emoji23][emoji23]Naona ni upako juu ya upako
Hongera[emoji23][emoji23]
Ya nini na weweHongera
Ya kushusha hayo mashairiYa nini na wewe
Heee! Unajua wewe Wa ajabu Ya kushusha hayo mashairi
Haya asante
Namashakana wewJoel lwanga naye mwimbaji Nzuri tu napenda kazi yake
Mimi nampenda sana ambone mwasonge, Mzee wa Upako, ila ninakubari kwamba hata gospel inabadirika gospel ya sasa siyo ile ya miaka ya 90 kabla ya ujio wa Makoma wakawafanya akina Rose Mhando waanze kuimba sebene la Yesu
Leo anaongoza roho kwenda mbinguni,ofcoz usimkufuru roho wa mungu uskute wa munguMzee wa bapa