Huyu kijana sitakuja kumsahau kwa alichokifanya

Huyu kijana sitakuja kumsahau kwa alichokifanya

Kuboma

Senior Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
154
Reaction score
189
Huyu kijana alikuwa kama na miaka 20 hivi, ilikuwa mwaka 2005 alikuja kumtembelea baba yake, ni mchanganyiko baba wa kichaga, Mama mjerumani, Nyumbani kwao sinza Dar es Salaam,huku baba yake alikuwa anafanya kazi kama bingwa wa magojwa ya kina mama akilipwa Dola alfu 5 kwa mwezi si haba kipindi hicho.

Picha linaanza kijana alipofika ni mtu wa kujirusha madisco,bangi mademu na kila kitu,yaani haendani na rangi yake.Huku silahaa ni za kumwaga akatangaza anataka pistor,wahuni wakamuunganisha na polisi anayeongea kiswahili,mzigo ukapatikana,sasa huku wanachokifanya unaweza ukauziwa kitu kimoja mara mbili,yaani mfano unaambiwa laki 5,ukishatowa laki 5 na ukakabiziwa mzigo baada ya mda wahuni wanakuja tena kukukamata.

Hapo utatoa zaidi ya laki 5,na wanaokuchoma ni wale waliokuuzia Dogo kumbe mchezo alikuwa anaujua mzigo umepatikana akawa anawazungusha kuwalipa, Siku aliyowalipa aliwalipa usiku kesho yake alfajiri sana kama saa 11 akaondoka,jamaa wameenda kama saa 2 asubuhi nyumbani kwake kumkamata kumbe dogo kaondoka saa 11 alfajiri,sijui ile silaha mpaka leo aliingiaje nayo vipi Tanzania,kwa tafsiri yake ilikuwa ya kujilindia siyo ya kufanyia uhalifu maana yuko vizuri kwao,Ulaya kama nyumbani
 
Huyu kijana alikuwa kama na miaka 20 hivi, ilikuwa mwaka 2005 alikuja kumtembelea baba yake,ni mchanganyiko baba wa kichaga,Mama mjerumani, Nyumbani kwao sinza Daresalam,huku baba yake alikuwa anafanya kazi kama bigwa wa magojwa ya kina mama akilipwa Dora alfu 5 kwa mwezi si haba kipindi hicho
Picha linaanza kijana alipofika ni mtu wa kujirusha madisco,bangi mademu na kila kitu,yaani haendani na rangi yake.Huku silahaa ni za kumwaga akatangaza anataka pistor,wahuni wakamuunganisha na polisi anayeongea kiswahili,mzigo ukapatikana,sasa huku wanachokifanya unaweza ukauziwa kitu kimoja mara mbili,yaani mfano unaambiwa laki 5,ukishatowa laki 5 na ukakabiziwa mzigo baada ya mda wahuni wanakuja tena kukukamata. Hapo utatoa zaidi ya laki 5,na wanaokuchoma ni wale waliokuuzia
Dogo kumbe mchezo alikuwa anaujua mzigo umepatika akawa anawazungusha kuwalipa,Siku aliyowalipa aliwalipa usiku kesho yake alfajiri sana kama saa 11 akaondoka,jamaa wameenda kama saa 2 asubuhi nyumbani kwake kumkamata kumbe dogo kaondoka saa 11 alfajiri,sijui ile siraha mpaka leo aliingiaje nayo vipi Tanzania,kwa tafsiri yake ilikuwa ya kujilindia siyo ya kufanyia uharifu maana yuko vizuri kwao,Ulaya kama nyumbani
Dhumuni nini mkuu?
 
Ingawa Sijui dhumuni la story na ni nini mwisho wake Ila, Natumaini Huyo kijana alipata machawa wengi sana hususani vijana wenzake alipokuwa hapa nchini. Maana vijana wa kibongo kwa kuendekeza njaa njaa na shida tu! Mpo vizuri…, ndo maana wengi wenu MASHOGA!
 
Ingawa Sijui dhumuni la story na ni nini mwisho wake Ila, Natumaini Huyo kijana alipata machawa wengi sana hususani vijana wenzake alipokuwa hapa nchini. Maana vijana wa kibongo kwa kuendekeza njaa njaa na shida tu! Mpo vizuri…, ndo maana wengi wenu MASHOGA!
Hiyo ishu hatukuwa Tanzania,soma vizuri story,halafu uchawa ni huko kwenu Tz huwezi kuleta uchawa huku kwa wanaume wanakupiga shaba kweupe
 
Huyu kijana alikuwa kama na miaka 20 hivi, ilikuwa mwaka 2005 alikuja kumtembelea baba yake, ni mchanganyiko baba wa kichaga, Mama mjerumani, Nyumbani kwao sinza Dar es Salaam,huku baba yake alikuwa anafanya kazi kama bingwa wa magojwa ya kina mama akilipwa Dola alfu 5 kwa mwezi si haba kipindi hicho.

Picha linaanza kijana alipofika ni mtu wa kujirusha madisco,bangi mademu na kila kitu,yaani haendani na rangi yake.Huku silahaa ni za kumwaga akatangaza anataka pistor,wahuni wakamuunganisha na polisi anayeongea kiswahili,mzigo ukapatikana,sasa huku wanachokifanya unaweza ukauziwa kitu kimoja mara mbili,yaani mfano unaambiwa laki 5,ukishatowa laki 5 na ukakabiziwa mzigo baada ya mda wahuni wanakuja tena kukukamata.

Hapo utatoa zaidi ya laki 5,na wanaokuchoma ni wale waliokuuzia Dogo kumbe mchezo alikuwa anaujua mzigo umepatikana akawa anawazungusha kuwalipa, Siku aliyowalipa aliwalipa usiku kesho yake alfajiri sana kama saa 11 akaondoka,jamaa wameenda kama saa 2 asubuhi nyumbani kwake kumkamata kumbe dogo kaondoka saa 11 alfajiri,sijui ile silaha mpaka leo aliingiaje nayo vipi Tanzania,kwa tafsiri yake ilikuwa ya kujilindia siyo ya kufanyia uhalifu maana yuko vizuri kwao,Ulaya kama nyumbani
hujui kuchora fiction
 
Hiyo ishu hatukuwa Tanzania,soma vizuri story,halafu uchawa ni huko kwenu Tz huwezi kuleta uchawa huku kwa wanaume wanakupiga shaba kweupe
Unadhani Kila aliye humu ni MPUMBAVU Na ZUZU Kama wewe?!

Silaha unapita nayo vipi Airport za huko au huku Bila vibali maalum na wao kuzi-trace taarifa zake na zako mtandaoni kabla ya kupita?! Au Unaona Kama mamlaka ya viwanja vya ndege hapa nchini kwetu Tanzania ni Mazuzu Kama wewe?!
 
Unadhani Kila aliye humu ni MPUMBAVU Na ZUZU Kama wewe?!

Silaha unapita nayo vipi Airport za huko Bila vibali na wao kuzi-trace taarifa zake na zako mtandaoni kabla ya kupita. Na Unaona Kama mamlaka ya viwanja vya ndevu hapa nchini kwetu Tanzania ni Mazuzu Kama wewe?!
Anaishi kingdom of Zamunda😡
 
Back
Top Bottom