Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Then what?! Mbona hii stor yako haina mantiki yeyote kwa msomaji?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo alikuwa anajatibu kuanzisha madaHizi ndo pigo za new members WA JF
Uwe unauliza kwanza kama hujaelewa kitu,aliyekwambia huyo mtu alishukia Airport nani? Au ndiyo umekalili hivyo? Kuna border nyingi za kuingia Tanzania kuanzia barabara anga mpaka majiniUnadhani Kila aliye humu ni MPUMBAVU Na ZUZU Kama wewe?!
Silaha unapita nayo vipi Airport za huko Bila vibali na wao kuzi-trace taarifa zake na zako mtandaoni kabla ya kupita. Na Unaona Kama mamlaka ya viwanja vya ndevu hapa nchini kwetu Tanzania ni Mazuzu Kama wewe?!
Ndiyo wapi huko?Anaishi kingdom of Zamunda😡
Kaka achana na kuanzisha nyuzi fanya kazi nyingine TU 🤣🤣🤣🤣Hujaelewa nini?
Niko kaziniKaka achana na kuanzisha nyuzi fanya kazi nyingine TU 🤣🤣🤣🤣
fictional kingdom😀, unakumbuka filamu ya Coming to America (1988)?Ndiyo wapi huko?
Mlikua kwa Madiba eehUwe unauliza kwanza kama hujaelewa kitu,aliyekwambia huyo mtu alishukia Airport nani? Au ndiyo umekalili hivyo? Kuna border nyingi za kuingia Tanzania kuanzia barabara anga mpaka majini
Niliiona kama sikosei nikiwa na miaka 8 ya kina Eddy Murphy kipindi hicho wenye TV na deki wa kuwahesabiafictional kingdom😀, unakumbuka filamu ya Coming to America (1988)?
Kuna sehemu nyingine hizi tabia za kibongo huwezi kuzionaMlikua kwa Madiba eeh
Itoshe tu kusema Wewe ni MPUMBAVU!Uwe unauliza kwanza kama hujaelewa kitu,aliyekwambia huyo mtu alishukia Airport nani? Au ndiyo umekalili hivyo? Kuna border nyingi za kuingia Tanzania kuanzia barabara anga mpaka majini
Unajua Elimu yenu ya darasani ni kazi bure ambayo huwa mnageuka kuwa chawa wa CCM aliyekwambia hii stori inazungumzia uwanja wa ndege nani?hii stori inazungumzia mwaka 2004 kijana alikuwa mtanzania baba yake mchaga na mama yake mjerumani,baba yake alikuwa anaishi kwenye inchi za kiafrica zenye machafuko ambako siraha zimezaga hovyo,Itoshe tu kusema Wewe ni MPUMBAVU!
Kama mashirika ya ndege yanashusha watu kwenye boda siku hizi basi uzi huu utaungwa mkono na WAPUMBAVU wenzio.
Ni lini na wapi ndege kubwa za kimataifa zilishushaga watu boda?! Unadhani hao wazungu ni ma-bogus kama nyinyi watu weusi?! Kama huna kazi hapo kwa shemeji yako anzisha uzi uombe kazi. Humu JF kumejaa watu wenye hadhi na kila aina ya mtu. Usipoteze muda, tumia fursa usaidiwe. Shauri yako
Ni nini umeandika?Huyu kijana alikuwa kama na miaka 20 hivi, ilikuwa mwaka 2005 alikuja kumtembelea baba yake, ni mchanganyiko baba wa kichaga, Mama mjerumani, Nyumbani kwao sinza Dar es Salaam,huku baba yake alikuwa anafanya kazi kama bingwa wa magojwa ya kina mama akilipwa Dola alfu 5 kwa mwezi si haba kipindi hicho.
Picha linaanza kijana alipofika ni mtu wa kujirusha madisco,bangi mademu na kila kitu,yaani haendani na rangi yake.Huku silahaa ni za kumwaga akatangaza anataka pistor,wahuni wakamuunganisha na polisi anayeongea kiswahili,mzigo ukapatikana,sasa huku wanachokifanya unaweza ukauziwa kitu kimoja mara mbili,yaani mfano unaambiwa laki 5,ukishatowa laki 5 na ukakabiziwa mzigo baada ya mda wahuni wanakuja tena kukukamata.
Hapo utatoa zaidi ya laki 5,na wanaokuchoma ni wale waliokuuzia Dogo kumbe mchezo alikuwa anaujua mzigo umepatikana akawa anawazungusha kuwalipa, Siku aliyowalipa aliwalipa usiku kesho yake alfajiri sana kama saa 11 akaondoka,jamaa wameenda kama saa 2 asubuhi nyumbani kwake kumkamata kumbe dogo kaondoka saa 11 alfajiri,sijui ile silaha mpaka leo aliingiaje nayo vipi Tanzania,kwa tafsiri yake ilikuwa ya kujilindia siyo ya kufanyia uhalifu maana yuko vizuri kwao,Ulaya kama nyumbani