Huyu kijana sitakuja kumsahau kwa alichokifanya

Uwe unauliza kwanza kama hujaelewa kitu,aliyekwambia huyo mtu alishukia Airport nani? Au ndiyo umekalili hivyo? Kuna border nyingi za kuingia Tanzania kuanzia barabara anga mpaka majini
 
Uwe unauliza kwanza kama hujaelewa kitu,aliyekwambia huyo mtu alishukia Airport nani? Au ndiyo umekalili hivyo? Kuna border nyingi za kuingia Tanzania kuanzia barabara anga mpaka majini
Mlikua kwa Madiba eeh
 
Uwe unauliza kwanza kama hujaelewa kitu,aliyekwambia huyo mtu alishukia Airport nani? Au ndiyo umekalili hivyo? Kuna border nyingi za kuingia Tanzania kuanzia barabara anga mpaka majini
Itoshe tu kusema Wewe ni MPUMBAVU!

Kama mashirika ya ndege yanashusha watu kwenye boda siku hizi basi uzi huu utaungwa mkono na WAPUMBAVU wenzio.

Ni lini na wapi ndege kubwa za kimataifa zilishushaga watu boda?! Unadhani hao wazungu ni ma-bogus kama nyinyi watu weusi?! Kama huna kazi hapo kwa shemeji yako anzisha uzi uombe kazi. Humu JF kumejaa watu wenye hadhi na kila aina ya mtu. Usipoteze muda, tumia fursa usaidiwe. Shauri yako
 
Unajua Elimu yenu ya darasani ni kazi bure ambayo huwa mnageuka kuwa chawa wa CCM aliyekwambia hii stori inazungumzia uwanja wa ndege nani?hii stori inazungumzia mwaka 2004 kijana alikuwa mtanzania baba yake mchaga na mama yake mjerumani,baba yake alikuwa anaishi kwenye inchi za kiafrica zenye machafuko ambako siraha zimezaga hovyo,
Au unataka niongee kila kitu?
 
Ni nini umeandika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…