GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.
Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.
Shikamoo Koffi Olomide.
Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.
Shikamoo Koffi Olomide.