kindanda
Member
- Feb 11, 2016
- 27
- 29
nimelisikia mkuu.ila hawa wakongo lugha yao bhana ni hatariHilo 'Tusi' Kubwa alilotutukana wana Simba SC kwa kuanza kutuita Kolo kisha likafuata nawe Umelisikia Mkuu wangu au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimelisikia mkuu.ila hawa wakongo lugha yao bhana ni hatariHilo 'Tusi' Kubwa alilotutukana wana Simba SC kwa kuanza kutuita Kolo kisha likafuata nawe Umelisikia Mkuu wangu au?
BASATA waufungie!Naomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.
Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.
Shikamoo Koffi Olomide.
Kama umeusikia tafadhali tunakuomba utuandikie hicho ulichokiskia kuanzia Sekunde ya 24 mpaka ya 36. Tutashukuru.Huu sasa ni uchonganishi. Mbona wimbo ni kikongo? Au vipi tafsiri
Mopao muziki anaujua,ngoma liko bomba sanawewe kilaza hapo kofi anasema " Kolo Kumama " kilingala " kumama " maana yake ni kupraise. sikiliza wimbo huu wa Prinx Emmanuel ;
wimbo wa koffi unaitwa " Acquitte" ni wimbo alio utoa maalumu kwa kumsifu na kumshukuru Mungu baada ya kukutwa hana hatia kwenye kesi alizo kuwa amepewa , ndio maana video ya wimbo inaanza na taarifa inayo tangaza kwamba koffi amekutwa hana hatia kwenye kesi zake.
Neno la kifaransa " Acquitte " kwa kiingereza hutamkwa " Acquit likiwa na maana kuachiwa huru na mahakama.
kwa ambao hamja usikiliza wimbo wa koffi ni huu hapa chini
# Ni bonge la wimbo.
ni one of the best song from Koffi.
Ngoma kama hizi koffi alikuwa anazitoa enzi za Andrada.
Tatizo ni nini? ….Afya ya akiliNaomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.
Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.
Shikamoo Koffi Olomide.
POPOMA hizi busara umetoa wapi?Nina neno Moja tu Kwako Mwenyezi Mungu akusamehe sana.
Kumama = PraiseNaomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.
Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.
Shikamoo Koffi Olomide.
wewe kilaza hapo kofi anasema " Kolo Kumama " kilingala " kumama " maana yake ni kupraise. sikiliza wimbo huu wa Prinx Emmanuel ;
wimbo wa koffi unaitwa " Acquitte" ni wimbo alio utoa maalumu kwa kumsifu na kumshukuru Mungu baada ya kukutwa hana hatia kwenye kesi alizo kuwa amepewa , ndio maana video ya wimbo inaanza na taarifa inayo tangaza kwamba koffi amekutwa hana hatia kwenye kesi zake.
Neno la kifaransa " Acquitte " kwa kiingereza hutamkwa " Acquit likiwa na maana kuachiwa huru na mahakama.
kwa ambao hamja usikiliza wimbo wa koffi ni huu hapa chini
# Ni bonge la wimbo.
ni one of the best song from Koffi.
Ngoma kama hizi koffi alikuwa anazitoa enzi za Andrada.
Naipenda Simba mshabiki wa damu.
Koffee Olomide naye wakutubabaisha mtu amefilisika alifikia kuletwa bongo na nandi.
Haji Manara naye msema hovyo hawezi kutusumbua.
Tuache, ishu ni bennji la ufundi tu halikujipanga.
Dude kuanzia sekunde ya kwanza ni sebene mpaka mwishoVipi kwanza wimbo wenyewe una sebene lenye vibe au ndio tutaumia mara mbili kupoteza mb zetu ku download wimbo wa kipumbafu halafu tunakuta tena tumetukanwa
Sasa Takadini ana nn? Tangu wagombanie bwana na kabwili na bado akakataliwa, ana gubu km kidampa wa, mbagala kizuiani.Naipenda Simba mshabiki wa damu.
Koffee Olomide naye wakutubabaisha mtu amefilisika alifikia kuletwa bongo na nandi.
Haji Manara naye msema hovyo hawezi kutusumbua.
Tuache, ishu ni bennji la ufundi tu halikujipanga.