Huyu Koffi Olomide wana Simba SC tumemkosea nini hadi Kututusi Tusi la Nguoni katika Wimbo wake mpya wa Acquitte?

Huyu Koffi Olomide wana Simba SC tumemkosea nini hadi Kututusi Tusi la Nguoni katika Wimbo wake mpya wa Acquitte?

Naomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.

Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.

Shikamoo Koffi Olomide.
BASATA waufungie!
 
Huu sasa ni uchonganishi. Mbona wimbo ni kikongo? Au vipi tafsiri
Kama umeusikia tafadhali tunakuomba utuandikie hicho ulichokiskia kuanzia Sekunde ya 24 mpaka ya 36. Tutashukuru.
 
wewe kilaza hapo kofi anasema " Kolo Kumama " kilingala " kumama " maana yake ni kupraise. sikiliza wimbo huu wa Prinx Emmanuel ;



wimbo wa koffi unaitwa " Acquitte" ni wimbo alio utoa maalumu kwa kumsifu na kumshukuru Mungu baada ya kukutwa hana hatia kwenye kesi alizo kuwa amepewa , ndio maana video ya wimbo inaanza na taarifa inayo tangaza kwamba koffi amekutwa hana hatia kwenye kesi zake.
Neno la kifaransa " Acquitte " kwa kiingereza hutamkwa " Acquit likiwa na maana kuachiwa huru na mahakama.


kwa ambao hamja usikiliza wimbo wa koffi ni huu hapa chini


# Ni bonge la wimbo.

ni one of the best song from Koffi.

Ngoma kama hizi koffi alikuwa anazitoa enzi za Andrada.
Mopao muziki anaujua,ngoma liko bomba sana
 
Naomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.

Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.

Shikamoo Koffi Olomide.
Tatizo ni nini? ….Afya ya akili
 
FB_IMG_16551967218542178.jpg
 
Naomba ewe Mwana Simba SC ingia upesi YouTube na utafute huo Wimbo wa "Acquitte' kisha tushee pamoja Maumivu ya Kuukosa Ubingwa wa NBC Mwaka huu na Tusi zito la Nguoni lililoanza na Neno Kolo (tulilopewa na Haji Manara) kisha kwa umakini wako kabisa lisikilize hilo Neno la Pili baada ya Neno Kolo.

Anzeni kusikiliza Sekunde ya 24 hadi ya 36 kisha tuanze Kumnunia kwa pamoja Mwanamuziki huyu Koffi Olomide na nahiisi hilo Tusi alilotutukana huenda Wakongo Wenzake walioko Yanga SC akina Mayele, Bangala, Djuma, Ushindi, Moloko na Makambo ndiyo wamemchomesha (wamemsakizia) alitamke hilo Neno (Tusi) lisilovumilika kwa Watanzania hasa Wanaume.

Shikamoo Koffi Olomide.
Kumama = Praise
 
wewe kilaza hapo kofi anasema " Kolo Kumama " kilingala " kumama " maana yake ni kupraise. sikiliza wimbo huu wa Prinx Emmanuel ;



wimbo wa koffi unaitwa " Acquitte" ni wimbo alio utoa maalumu kwa kumsifu na kumshukuru Mungu baada ya kukutwa hana hatia kwenye kesi alizo kuwa amepewa , ndio maana video ya wimbo inaanza na taarifa inayo tangaza kwamba koffi amekutwa hana hatia kwenye kesi zake.
Neno la kifaransa " Acquitte " kwa kiingereza hutamkwa " Acquit likiwa na maana kuachiwa huru na mahakama.


kwa ambao hamja usikiliza wimbo wa koffi ni huu hapa chini


# Ni bonge la wimbo.

ni one of the best song from Koffi.

Ngoma kama hizi koffi alikuwa anazitoa enzi za Andrada.

Hahahaah Koffi hapo kwenye Kolo..Kumama...si angemalizia tu na "ke"
 
Vipi kwanza wimbo wenyewe una sebene lenye vibe au ndio tutaumia mara mbili kupoteza mb zetu ku download wimbo wa kipumbafu halafu tunakuta tena tumetukanwa
 
Naipenda Simba mshabiki wa damu.

Koffee Olomide naye wakutubabaisha mtu amefilisika alifikia kuletwa bongo na nandi.

Haji Manara naye msema hovyo hawezi kutusumbua.

Tuache, ishu ni bennji la ufundi tu halikujipanga.
Sasa Takadini ana nn? Tangu wagombanie bwana na kabwili na bado akakataliwa, ana gubu km kidampa wa, mbagala kizuiani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom