Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hainistui,hujanikomoa, trust me ngoma inayokuja inaitwa Haunibabaishi [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sky eclat uko wapi dude liwaita ...Hance Mtanashati umesikia dude hilo.
Ngoma mbovu naona mtoa mada unatumia nguvu nyingi ili tuielewe
sasa inabidi useme "mtoa Mada anakufosi uelewe ngoma sio utusemee sisi eti anatufosi..Chuki hapo ipo wapi?ulitakanisifia hata Kama ngoma ni mbovu mbona ngoma yake ya uno nilisema ngoma kali.
Hiyo ngoma asimilia kubwa hawaikubali ndomaana nimeongea hivyo so why unaona inasuasua ngoma haiendi kifupi konde boy kavamia uwanja sio angewaachia tu wakina meja kunta, dulla makabila na msaga sumu.sasa inabidi useme "mtoa Mada anakufosi uelewe ngoma sio utusemee sisi eti anatufosi..
Hujamkomoa hata hivyo
Hainistui,hujanikomoa, trust me ngoma inayokuja inaitwa Haunibabaishi [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haJoined Jun 8, 2019, Haunishtui
asilimia hizo umezitoa wapi??Hiyo ngoma asimilia kubwa hawaikubali ndomaana nimeongea hivyo so why unaona inasuasua ngoma haiendi kifupi konde boy kavamia uwanja sio angewaachia tu wakina meja kunta, dulla makabila na msaga sumu.
Mzee baba matusi yanatoka wapi? Kwanini unapanic kiasi hichi msanii wa bongofleva kuimba singeli si kosa japo atoe ngoma Kali mbona Rama Dee katoa ngoma Kali ya singeli inaitwa mazoea na ngoma ikawa hit song tena hiyo imefunika nyimbo nyingi za singeli.Kama ni mfuatiliaji mzuri sijawahi kumsimanga Harmonize ila ukweli lazima uzungumzwe katoa ngoma ya ovyo kuanzia beat, Melody mpaka uimbaji wake kashindwa kuswich vizuri Kama ngoma ya uno niliisifia kwanini kusema kwangu ukweli kwa ngoma hii uumie au nionekane Nina chuki nae.asilimia hizo umezitoa wapi??
Inamaana unampangia mtu cha kufanya?
Mbona kwenye ile singeli ya moto hukusema bosi wako mondi awaachie kina meja?
Chuki itakuua wewe..