Huyu Konde ni hatari-hujanikomoa bonge la singeli

Huyu Konde ni hatari-hujanikomoa bonge la singeli

Mzee baba matusi yanatoka wapi? Kwanini unapanic kiasi hichi msanii wa bongofleva kuimba singeli si kosa japo atoe ngoma Kali mbona Rama Dee katoa ngoma Kali ya singeli inaitwa mazoea na ngoma ikawa hit song tena hiyo imefunika nyimbo nyingi za singeli.Kama ni mfuatiliaji mzuri sijawahi kumsimanga Harmonize ila ukweli lazima uzungumzwe katoa ngoma ya ovyo kuanzia beat, Melody mpaka uimbaji wake kashindwa kuswich vizuri Kama ngoma ya uno niliisifia kwanini kusema kwangu ukweli kwa ngoma hii uumie au nionekane Nina chuki nae.
Potea hapa mbele yangu.

Hustui wala nini...
 
Kwa level za kiuswahilini hii ni Bonge moja ya Nyimbo.
 
Dogo, wakati huyo dogo mwenzio yupo wasafi ulikua bila shaka unampamba kwa maneno matamu na mshawasha na pongezi nyingi sana, nadhani hata ulikua ukimuota...ila saivi alivyojitoa naona mmebadilika kama vinyonga kila nyimbo.mbovu, nimeona uzi wako wa kumsifia mbosso, na siku mbosso akijitoa utakuja kusema nyimbo zake mbovu...UNAFIKI ni dhambi kubwa
Ngoma mbovu naona mtoa mada unatumia nguvu nyingi ili tuielewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu nianze kusikiliza nyimbo ya kwanza ya Konde, sijawahi kusikia nyimbo mbovu kama hizi 2 za mwisho.
 
Back
Top Bottom