Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Potea hapa mbele yangu.Mzee baba matusi yanatoka wapi? Kwanini unapanic kiasi hichi msanii wa bongofleva kuimba singeli si kosa japo atoe ngoma Kali mbona Rama Dee katoa ngoma Kali ya singeli inaitwa mazoea na ngoma ikawa hit song tena hiyo imefunika nyimbo nyingi za singeli.Kama ni mfuatiliaji mzuri sijawahi kumsimanga Harmonize ila ukweli lazima uzungumzwe katoa ngoma ya ovyo kuanzia beat, Melody mpaka uimbaji wake kashindwa kuswich vizuri Kama ngoma ya uno niliisifia kwanini kusema kwangu ukweli kwa ngoma hii uumie au nionekane Nina chuki nae.
Mchawi yoyote wa msanii ni kufanya ngoma Kali so mwambie boss wako atoe ngoma Kali atakubalika tu Ila sio kwa hiyo ngoma.Potea hapa mbele yangu.
Hustui wala nini...
kwani ukisema wewe ndio nani?Chuki hapo ipo wapi?ulitakanisifia hata Kama ngoma ni mbovu mbona ngoma yake ya uno nilisema ngoma kali.
Katika mtindo wa taarabuHainistui,hujanikomoa, trust me ngoma inayokuja inaitwa Haunibabaishi [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma mbovu naona mtoa mada unatumia nguvu nyingi ili tuielewe
Toka Flowers Ep itoke nmeisahau kabisa hii singeli
Atazidi kupotea zaidi ya hapa.
Tulishasema tangu awali huyu dogo akiacha kutembelea nyota ya Diamond anapotea mazima.Hance Mtanashati umesikia dude hilo.
Mbaya sana.Ngoma mbovu naona mtoa mada unatumia nguvu nyingi ili tuielewe
Kumbe unamfahamu!Tulishasema tangu awali huyu dogo akiacha kutembelea nyota ya Diamond anapotea mazima.
Uthibitisho ni nyimbo anazozitoa baada ya kutoka wasafi.