Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kuku mgonjwa huyo, huoni ana kishingo?View attachment 2671907
Nikiwa ketu huku usukumani, nikija likizo mjomba huwa ananiwekea li kuku king size ili nile nishibe.
Sasa nyie wa mjini ati vi fried chicken vya Cgick King au Mary Brown najua hamshibi.
Nataka watu wengine twende wote Bariadi.
Ukawale au mle wote Kuku?
Huyo kuku wa kwetu easily kilo3-4.Kuku mgonjwa huyo, huoni ana kishingo?
Wabongo na free lunch aiseeee!
Wageni sitaki!kwiooooooo
Kuku kishingo,njomoko
Unamlia ugali au wali?Huyo kuku wa kwetu easily kilo3-4.
Usipomaliza utaonekana hujashiba.
Msukuma tena?Unamlia ugali au wali?
Tuanzie hapa🐖View attachment 2671907
Nikiwa ketu huku usukumani, nikija likizo mjomba huwa ananiwekea li kuku king size ili nile nishibe.
Sasa nyie wa mjini ati vi fried chicken vya Chick King au Mary Brown, najua hamshibi.
Nataka watu wengine twende karibuni wote Bariadi.
Lakini blaza hilo dish la mjini, hutashiba!Tuanzie hapa🐖
Jamaa hapa mani aloneLakini blaza hilo dish la mjini, hutashiba!
Jamaa saivi narudi kwa Shirima napiga ya kulalia halafu kesho skukuu😎nakutumia picha soonLakini blaza hilo dish la mjini, hutashiba!
Usiondoke bila kusafisha nyota hapo kanadi mkuu😂😂😂View attachment 2671907
Nikiwa ketu huku usukumani, nikija likizo mjomba huwa ananiwekea li kuku king size ili nile nishibe.
Sasa nyie wa mjini ati vi fried chicken vya Chick King au Mary Brown, najua hamshibi.
Nataka watu wengine twende karibuni wote Bariadi.
Hawa kuku vi broiler inbidi uweke kama vinne ndio ushibe!Jamaa saivi narudi kwa Shirima napiga ya kulalia halafu kesho skukuu😎nakutumia picha soon