Huyu kuku, namla peke yangu! Wageni sitaki!!

Huyu kuku, namla peke yangu! Wageni sitaki!!

Katika watu wakarimu Tanzania hii nadhani Wasukuma wanaweza kuongoza, hasa ukiwa umeenda Vijijini huko usukumani kwa upande wa chakula, utakula hadi kusaza.

====
Mimi nitakuwa mchinjaji Mkuu, kwahiyo shingo yangu Chifu 🤪
Sisi kweli ni wakarimu sana, shingo ni yako lakini mapaja, kidari, boeing(mbawa) vyote naviswaga mwenyewe!
 
Keiefsii🤣🤣🤣... Hongera jamani nimekutamania
 
Sisi kweli ni wakarimu sana, shingo ni yako lakini mapaja, kidari, boeing(mbawa) vyote naviswaga mwenyewe!
Hahaha.......Mkuu naona unajipendelea, kwenye Kuku huwa nakula hasa Mapaja, kidari na kidogo mbawa hasa akiwa wa kuchomwa.

Lakini shingo na kichwa sijawahi vutiwa navyo.

Kama vipi nakutumia Mpesa hapo tupate wawili, ila Ugali uwe mkubwa pamoja na maziwa mgando šŸ¤—
 
View attachment 2671907
Nikiwa ketu huku usukumani, nikija likizo mjomba huwa ananiwekea li kuku king size ili nile nishibe.
Sasa nyie wa mjini ati vi fried chicken vya Chick King au Mary Brown, najua hamshibi.
Nataka watu wengine twende karibuni wote Bariadi.
Sio kuchi ilo, ilo kesho unalipatia pilau, au wali maua au biliani.[emoji39]
 
Kwa mimi huyo wanitengee kwa ajili ya salamu tu, kujuliana hali, wa pili anaendelea kuiva jikoni kama huyo huyo. Ndio tujue kifuatacho ITV...[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom