Huyu Makonda sio mtu wa kawaida

Huyu Makonda sio mtu wa kawaida

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Pamoja Tuhuma nyingi alizonazo nimemfuatilia historia ya mikutano yake alipokuwa RC dar ,Mwenezi na hiki alichofanya leo , huyu sio mtu wa kawaida .

Hata ukisema watumishi wanalazimishwa kwenda ,wanaita na wanafunzi au wanakodi watu toka sehemu nyingine haiwezi elezea .

Kwa kifupi huyu ana ushawishi kwenye jamii tatizo ni nini kinachofanya awe na ushawishi kiasi hiki ? Utendaji kazi au uzalendo hilo ni gumu kuelewa .

Ni ngumu kukubali lakini ndio ukweli

 
mbona kaacha vikao vya kutatua migogoro
 
Pamoja Tuhuma nyingi alizonazo nimemfuatilia historia ya mikutano yake alipokuwa RC dar ,Mwenezi na hiki alichofanya leo , huyu sio mtu wa kawaida .

Hata ukisema watumishi wanalazimishwa kwenda ,wanaita na wanafunzi au wanakodi watu toka sehemu nyingine haiwezi elezea .

Kwa kifupi huyu ana ushawishi kwenye jamii tatizo ni nini kinachofanya awe na ushawishi kiasi hiki ? Utendaji kazi au uzalendo hilo ni gumu kuelewa .

Ni ngumu kukubali lakini ndio ukweli

View attachment 3173101
Hana lolote huyo mbona hiyo manyunyu ya watu hata mimi naweza kuwasanya
 
Back
Top Bottom