Huyu mama kazidi sasa

Huyu mama kazidi sasa

Hahahaha wallahy nmecheka kwa sauti,ww kweli chizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] mazoez ya nn.....

hahaha we subiria tu upokee mahar
hahaha huyo bwana shemejii afnya mazoezi ya Qaswida na Nashdi na si wajua zile qaswida za ndoa hahaha

hivi yupo au kazimia
maana mara mwisho nilimuacha wanamwekea drip ya qwinini [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
hahaha huyo bwana shemejii afnya mazoezi ya Qaswida na Nashdi na si wajua zile qaswida za ndoa hahaha

hivi yupo au kazimia
maana mara mwisho nilimuacha wanamwekea drip ya qwinini [emoji51] [emoji51] [emoji51]
Hahahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] usinivunje mbavu binami ww kaaa...

Hayo mazoez ni ya mwendo kasi
 
Back
Top Bottom