Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ila we jaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Brother unahela afu unateseka sipati picha ungekua maskini [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mkuu,
Unahisi nmerogwa?[emoji848]
Kabisa[emoji3],haiwezekani mwanaume unapelekeshwa kama gari bovu

Yaani kakuweka kiganjani,lolote chochote anafanya na hauwezi muacha katu

Halafu unamoyo[emoji3],ticha kapasha na unajua nawe ukaunga tela[emoji41]
 
Naomba uwe mchepuko wangu
Aisee nashindwa kuelewa vizuri hapo Kwamba mzinguane ..kipite kipindi then gafla tu unakuja vuuuppp unanivamia kitandani aseeeeehhh!!

Haha mambo ya kuwa mchepuko mi siyawezi kabisa mkuu bora wewe mwanaume uwe nao huko nje!
 
Aisee nashindwa kuelewa vizuri hapo Kwamba mzinguane ..kipite kipindi then gafla tu unakuja vuuuppp unanivamia kitandani aseeeeehhh!!

Haha mambo ya kuwa mchepuko mi siyawezi kabisa mkuu bora wewe mwanaume uwe nao huko nje!
Hahha hujawwahi kuchepuka?
 
Ndo hapo sasa yaani kaliwa karudi tena huyu karogwa
Mwanaume na akili zake timamu hawezi Kuishi na mwanamke wa aina hiyo,

Mwache aendelee kumuigizia kumuachisha kazi nk.lakini hapa mwisho siyo mzuri kabisa

Atakuja alee mtoto asiye wake

Na mchepuko ukijua katoka na mdoho wake[emoji3]yaani wataungana dada na dogo kummaliza kabisa,,,,kwa hilo wala hajamkomoa maana hapendwi yeye,zinapendwa pesa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…