Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ha ha ha......
Rafki angu cocastic karibu Sana kwenye Uzi. Ndo mambo yako aya[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman huyo mchepuko apewe nn tena? Kidonda afukuzie nzi? Yaan kapata mwanaume anasimamia show mwa mwi, yaan varangati la kibabe, na posho mezan anaacha, uwiiiiiiiiiiih.

Kweli upele humuota asiye na kucha lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee!
 
Usikute unapewa kwa mpalange au inawezekana umefanyiwa dawa usitoke ktk kumi na nane zake ila labda tu unakichwa kizuri maana sometimes akili inatoka na sometimes inarudi.
 
Wewe jamaa unaongea kama huna mke. Mbadala wake vipi wakati una mke. Dah! Kweli wanaume tumeumbiwa mateso. ...Nikuhakikishie tu huyo mwanamke huwezi kumuacha labda yeye ndio akuache. Na nikuhakikishie tu huyo mwanamke unampenda kinyama na laiti ingekuwa inawezekana ungemuoa. Najua kuna kitu kinakuzuia na kukunyima usingizi ukifikiria swala la kumuoa. Na mojawapo itakuwa unajua kabisa demu anagawa kwa wanume wengine ila anakupenda. Sasa una mixed feelings ambazo zinakufanya ushindwe kufikia maamuzi ya kumuoa. Narudia kusema huyo demu unampenda sana na nimzuri wa sura hadi kitandani. Nina uhakika na ninarudia nina uhakika unapofanya mapenzi na mkeo hufurahii kama unavyofurahia unapofanya mapenzi na huyo mwanamke. Na siku unapozinguana na huyo mwanamke stress zako huwa zinaonekana hadi nyumbani. Kwa kifupi ni kwamba furaha yako inategemea mahusinao mazuri na huyo mwanamke.
 
Aisee, ngoja nipitie comments
 
Wewe jamaa unaongea kama huna mke. Mbadala wake vipi wakati una mke. Dah! Kweli wanaume tumeumbiwa mateso. ....

Ha ha ha.... Wee jamaa umenichekesha Sana,Eti tumeumbwa mateso[emoji4]
 

Na anavopenda ndoa uyu ningekua wa kumuoa, nishaoa mda. Maana Ni mwaka wa 3 huu tuko pamoja.

Sema suala la kuoa naliheshimu Sana, kuoa mwanamke kwa kigezo Cha sex pekee utakua Ni uzuzu promax.

Yaan uyu mwanamke ukiondoa sex tu, Hana kingine Cha muhimu unachoweza kusema uyu anafaa kua MKE wa mtu.

Kwaiyo kwamimi kumuoa uyo kwangu Ni ngum Sana, HANA VIGEZO
 
Kuzaa nae ndo kitu kwa sasa nakwepa kwa Nguvu zangu zote.

Ilo la Kuachana nae, kwakweli MNIOMBEE Sana wakuu[emoji4]
Hizo nguvu unazotumia kumkwepa kuzaa naye ungezielekeza kwenye kumkwepa na kumuqcha yeye ingeleta maanq kubwa sana yaani.
 
Mwaka 2015 nna jamaa angu,
Aliopoa kahaba wa sinza, afu kama masihara akaoa KABISA.

Huwez amini mpk sahv wako pamoja na wana watoto 3.
 
Hizo nguvu unazotumia kumkwepa kuzaa naye ungezielekeza kwenye kumkwepa na kumuqcha yeye ingeleta maanq kubwa sana yaani.
Kuandika Ni rahisi, ila kwenye utekelezaji Sio rahisi mkuu[emoji4]
 
Duuuh!@konda msafi upo za siku nyingi jamaa. Nime miss story ya Nkumbu tupe part 2 jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…