Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Kikubwa brother Pond wewe endelea kupambana na janga lako...umeshalichuma huna budi kulila peke yako.

Kikubwa wanaume huwa tunapenda maisha ya changamoto...ukiwa huna changamoto za kiuchumi basi utatafuta changamoto za kimapenzi.

Pia wengi tunaenda nje ya title au ushauri aliouomba mleta uzi. Wengi tunajibu tofauti na tulivyoulizwa, Mleta uzi hajasema kuwa anaomba ushauri aachane na mchepuko wake. Alichotaka ni tumshauri aupe taarifa mchepuko wake kuwa anatoka na shemeji yake au laa ?

Mi jibu ni moja tu USIMWAMBIE , Wewe endelea kuzichakata maku zote mbili kwa nyakati tofauti.Mdogo mtu anaonekana kuwa anajielewa na hii inaonekana kiwango chake cha elimu kipo juu kuliko dada yake. So anajielewa na anaweza kuendelea kuficha mahusiano yake na yako ila za mwizi ni arobaini , either zikutwe sms zako kwenye simu ya mdogo wake au MIMBA ije iwaumbue..

Nawasilisha.
 
We jamaa story yako imenichekesha kama mazuri vile unawezaje kuwa na mwanamke wa aina hiyo unamfanyia kila kitu lakini unaishia kupigwa matukio?? Mm sikushauri cha kufanya lakini wewe mwenyewe em jiulize kama unastahili hayo unayopitia alafu utapata majibu nini ufanye. Pole
 
Mwaka 2015 nna jamaa angu,
Aliopoa kahaba wa sinza, afu kama masihara akaoa KABISA.

Huwez amini mpk sahv wako pamoja na wana watoto 3.
Inatokea sana...makahaba wengi wanajiuza kutokana na shida za kimaisha ila wakipata gentlemen wa kuwatuliza na kuwahudumia wanakuwa wife materials kabisa.
 
Dogo naendelea kumla, mpk Jana nilikua nae.
Sema show zake sio kivile kama alivyo dada ake

Dada ake fundi Sana aisee,
Japokua na changamoto zake kibao Kuna MDA huwa nammiss Sana msumbufu wangu yule[emoji4]
Hii ndo sababu kumbe unashindwa kuchomoka[emoji16][emoji16]
 
Hatari ipi mkuu wakati kuna gape la miaka miwili miwili
Hamna mkuu 15_21 sawa na miaka sita huyo mwanamke anauzowefu wa kubemenda sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usikute unapewa kwa mpalange au inawezekana umefanyiwa dawa usitoke ktk kumi na nane zake ila labda tu unakichwa kizuri maana sometimes akili inatoka na sometimes inarudi.
Akili iko fresh KABISA mkuu[emoji4]

Kuna siku alileta ujinga nkamwambia

"Hivi akili yako iko sawa kweli wewe? Unajiamini Nini kwanza kutamka UPUUZ kama huo. Aumepewa dawa uko umekuja kuzifanyia majaribio kwangu. Mwambie mganga wako alokupa dawa sijaribiwi Mimi. Akurudishie chenji yako"
 
Wee jamaa uko smart Sana,
umeusoma vizur Uzi na kuuelewa point to point.

Jf imebarikiwa Watu smart Sana, melo aishi miaka mingi Sana[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…