Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ahaaaaaaa kumbe! Lol! Basi mziki wako sio wa kitoto mkuu kwa experience yangu hadi mwanamke atoe maji ya kurusha sio Kazi ndogo eti na lazima mwanaume awe anajua kutomber/ kuandaa kweli kweli 🚶🚶
 
Nothing to say aseehh!!ila daah!hii kaali
 
Chemistry yetu Ni Kali Sana, bado zile show za kwenye gari.
Nikianzaga kusimulia Hapa hapata tosha[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji2][emoji3][emoji3]hyo unachuka zile za kwenye porn video unampeleka ndo mnaaply kwake sasa!
 
Ndoa ngumu jamani
Nawaza siku mkeo ajue haya yote
Nimejikuta namhurumia japo simjui
Wife wangu Ni mtu POA Sana afu mcha mungu Sana[emoji4]

Afu kingine NAMPENDA SANA[emoji4].
Sitaki nimkwaze na ata nnapokua uko kwenye Ujinga wangu bado Namkumbukaga Sana.

That's why sijawai kulala nje, ntafanya vurugu zote ila Lazima nikalale kwangu[emoji4]
 
Wakuu na sijaona comment yoyote inayozungumzia urefu wa uzi...

Au Mtandao kwangu una duplicate thread?
Ha ha ha....
Uzi mrefu ndio, ila jitahidi uusome hivo hivo mkuu[emoji4]
 
Kuna vitu tuviweke Sawa, MWANAMKE wako ni Malaya na ww ni mbumbumbu. Nisamehe kama ntakua nmemtumia lugha mbaya.
Kwa tafsiri yako uko sahii mkuu[emoji4]
 
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]nyie nuksiiii
 
Hahah mkuu, najuta kusoma Mada yako wakati wa mchana.
Nimeishia wakati unamtomasa shem wako....nitarudi baadae hahahahhaha
 
Shortly Nyie wote katika hio engo mafia ninjas Ndomana nakwambia hamuwezi kuachana kirahisi nyie!
 
Ahaaaaaaa kumbe! Lol! Basi mziki wako sio wa kitoto mkuu kwa experience yangu hadi mwanamke atoe maji ya kurusha sio Kazi ndogo eti na lazima mwanaume awe anajua kutomber/ kuandaa kweli kweli [emoji124][emoji124]
Ili usex mwendo mrefu lazma mwenza wako awe kwenye mood ya uhakika.

Apo Lazima aandaliwe ipasavyo, ili likiamshwa linapigwa gwaride mpk unatoka Lile jasho la kwenye kope za macho.

Mnafanyana mpk jasho linaingia machoni, macho yanawasha, inabidi kuyafumba TU maana hata nafas ya kuosha hamna. mnasex mkiwa hamuonani tena.

Inabaki ile unamgusa gusa tu kwa kukisia tu, kua hapa nmegusa huu Ni mguu, hili Ni titi, hili Ni tako n.k

Yaan mkitoka hapo, Wote hoi[emoji4]
 
Kabisa lazima waruke pamoja tu imagine wameshafumaniana ila mapenzi kama kawa dahh
Mwanaume anamdharau huyo mwanamke anamuona km changudoa hivi!mdada anakubali kwa kua anapewa hela ya kula baasii!hana cha kupoteza
 
Sio kweli mkuu.
Mama watoto wangu nampenda sana.

Ndo maana najitahudi Sana asijue huu ushubwada unaoendelea uku duniani[emoji4]
IPO siku atajua,kama alivyojuaga mwanzo,halafu utamuumiza sana akijua bado upo na huyu mchepuko,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…