mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Take care[emoji23][emoji23]Bado napiga ila sio kiviiile Sana[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Take care[emoji23][emoji23]Bado napiga ila sio kiviiile Sana[emoji4]
Maana siku hizi baadhi ya wanawake wanapenda sana kulogana kwenye haya mamboBado napiga ila sio kiviiile Sana[emoji4]
We unachukulia poa[emoji23]Sasa Dogo atamloga dada ake kwa lipi labda?
Ee hapo punguza mawasiliano,kidogo kidogo,Nampunguzia mawasiliano kwanza, kusitisha Moja kwa moja gafla sidhan kama imekaa vzur mkuu. Au wee waonaje[emoji4]
Najikuta nakuhurumia na yajayo usipoamua kukaza kuachana nae,,, itakugharimu na utajutia sanaKwakweli MNIOMBEE [emoji4]
DuhBasi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.
Sasa kwa bahat mbaya nilivoenda kupakia, nkakuta Bei za vitu zimepanda Sana uko. Ikabd Ile bajet nlotenga kununulia material za ujenz niongeze nichukue mzigo wa duka Kama nilivopanga. Nkasema huu ujenz upo ntaendelea nao baadae. Nizungushe kwanza. Afu vitu vingine nkavikosa vya muhimu nkavikosa ikabid nirudi baada ya siku 5 tu badala ya wiki 2 Kama nilivopanga awali.
Sasa Nilivorudi nkakuta mwenzangu kanuna, Basi ukawa mzozo akilalamika kwann nmeukataa mchanga wake. Yakawa Kama yameisha.
Tukasex kisha nikaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Baada ya siku 2 Tena nkaenda kusex nae, Kisha nkaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Ile natoka mlangoni Akanivuta kusema
"Hivi wee Mwanaume unanichukuliaje Mimi? Umeniona mi takataka Sana sio?"
Nkauliza "kwann?"
Akasema "Yaan unakuja,unaondoka TU hata ela ya kula huachi.
Kwenye Ujenzi nako sikuelewi elewi naona umerudi ila Sioni material wala ukiendeleza ujenzi
Ilianza unatoa elfu 15, ukaja elfu 5, sikuhizi naona huachi KABISA.
Hivi wee unahisi mi naishije hapa ndani? Au nimekua jini Mimi?"
Nikawa nimecheka nikamwambia
"kwani Maneno yote Ayo yanatoka wapi mpnz wang, wee sinilishakuachia Ela ya kula wiki 2? , leo wiki ya pili ndo imeanza unaniombaje Ela sasa?"
Akasema,
"Unaemchekea Nani,hapa utoki Lazima unaichie Ela..." Uku ananisachi.
Nikawa namtoa hatoki anaendelea kunikagua mifukoni, nikona uyu mpumbavu.
Nikamziba Kofi, akaiachia suruali yangu.
Nikamwambia,
"ukome na uwe na adabu unapokua unaongea na mm, tabia ya kunisachi Ni ya kimalaya na ife Mara Mona. Usije unarudia huo upuuzi Tena"
Basi nikaondoka zangu.
Sasa kesho yake Sina hili Wala Lile wakapitishwa samaki wazur Sana dukan kwangu.
Nikanunua mafungu mawili, moja likapelekwa kwangu jingine nikamtuma bodaboda wake ampeleke mchepuko kwake.
Basi baadae boda Akanambia kafikisha mzigo, ikabd Nimpigie kumjulisha achukue samak mmoja anichemshie supu jion ntapitia kunywa. Akawa hapokei.
Basi nikamtumia sms.
Ile jion nikapitia kwake kunywa supu yangu, Ila nafika nagonga akaja mlangon akasimama wima.
Akasema,
"Eeh baba wee, ishia uko. Ukitaka kuingia nyumba hii tekeleza nnayoyataka"
Nkamuuliza "yapi Ayo"
Akasema
" kwanza-uwe unanipa elfu 20 yakula kila siku
Pili- unimalizie ile nyumba ndani ya mwezi huu
Tatu- uweke zamu yakulala kwangu.
Huwez kutekeleza Ayo Basi ISHIA HAPO HAPO NJE"
Nkamwambia "sawa"
AkAuliza
"Iyo sawa maana ake Nini, afu ilo jibu lako silipendi linanikera Sana"
Nkamwambia ,
"Sawa maana ake siwez kutelekeza Ayo unayoyahitaji kwa Sasa"
Akasema "aya, ishia huko huko. Wako wanaume wengi sana Kama wewe wanaoweza kutimiza nnayoyahitaji"
Nkamwambia "sawa wakakutimizie Basi"
Akasema " akarud ndan na kufunga mlango wake"
Sasa,
Nikabaki pale nje nimeduwaa, maswali mengi kichwani. Kisha nikaenda zangu nyumbani.
Ni siku ya 5 Sasa karudi kwenye ule utaratibu wake w zamani wa kurusha vijembe status,
Naziona status zake kibao kila Mara, nabaki najiuliza.
[emoji117]Hivi uyu mwanamke ananichukuliaje kwanza?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajiona special Sana eeh?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kua hapo anapokaa Kodi anahamia nmelipia mm?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua Apo anapojimwambafai nishapita na mdg wake?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kwamba Apo anapofanya kazi yupo kwa mgongo wangu mimi[emoji848]
[emoji117]Au nimuundie zengwe Tena ahangaike na Dunia ili akili imkae[emoji848]
Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI[emoji848]
Mwisho
Mwenyewe alivoskia joka keshazama ndani, akaanza kutoa ushirikiano wa kutosha. Tukasex kwa MDA mchache kias. Mpk pale yeye alipochoka na kusema "shem mimi apa nmetosheka kabisa, siwez kuendelea. twende home tutafanya siku nyingine Tena"
Nami nikasema "sawa"
Maana nmeshuhudia mwnyw Alikojoa vitatu kabisa, kimoja kwenye masaji, cha pili kwenye clit&dick, chatatu Ni kwenye penetration.
Akaniuliza "vipi wewe?"
Nkamwambia "bado sijakojoa ila kwasababu ya mda, na naona umechoka sn tutafanya siku nyingine. Am okay with that"
Akasema, "Aya, ila usnelewe vibaya plz, nmechoka kweli. MDA ule kwenye masaji ulinichezea Sana ndo maana"
Nkasema, "haina shida naelewa. Worry out bby" uku nikimchum mdomoni.
Basi Tukaenda kuoga, Kisha kuvaa, kumkabidhi chumba na kuondoka kurud kwetu.
Basi baada ya Hapo
Tukawa na chemistry nzur Sana na yule Dogo.ila kisirisiri. Ila Sasa zile status mfululizo za penzi jipya na vijembe vya yule mchepuko vikawa vinazidi nichefua.
Ikabd nifuatilie uyu jamaa anomuweka status Ni Nani na anafanya shughuli gan. Iyo kazi nikampa mdg wake.
Nae akarudisha mrejesho kua uyo jamaa alkua ex wake enz za sekondar, ila kwa Sasa Ni mwalimu wa sekondari uko mkoani, Yuko hapa mjini kujiendeleza kielimu ansfanya masters ktk chuo X.
Basi nikakeep zile information kifuani na nikajua kabisa opponent Kama uyo nammudu kabisa nikiamua kushughulika nae.
Sasa kwa mfulurizo was zile status,
Nikaona uyu mwanamke katangaza Kuanzisha ligi, Uyu jamaa sina tatizo nae. Ngoja nideal na uyu mwanamke mpk ashike adabu.
Basi ikabd nimshirikishe RAFIKI angu Yule mwenye petrol station alomwajiri.
Akaniuliza "Kwan brother wee unaona tumfanyeje nafsi yako iridhike"
Nikasema, "nnachoona wee msimamishe tu kazi, afu akikaa nyumba akifulia najua akili zitamkaa"
Akasema, "kumsimamia mtu bila sababubya msingi hata haikai vizur, kwa jins tulivo close atajua kabisa nmefanya hivo sababu ya ugomvi wako na yeye. Nashaur Tumtaftie kwanza sababu ya kumtia stress kichwa kimuume. Akose kabisa huo MDA wa kuenjoy penz jipya na kurusha hivo vijembe vyake vya status."
Nkasema, "kwaiyo unashaur tufanyeje brother"
Akasema, "Iyo plan iwe Ni kumpa pesa kama 5mil azipeleke benki. Kisha Ntakupa tip, utaseti vijana watamkwapua zile pesa. Kisha Mimi ntajifanya sielewi chochote nnachotaka pesa zangu zirudi NO EXCUSE. Ntashinikiza awekwe ndani kwa uchunguzi mpk Ela irudi. Wee utakuja polisibkama mdhamini ila utakausha kumsaidia chochote. Bila Shaka uyo jamaa wake ndo atakua msaada wake ulobaki. Sasa tutachonga na mkuu we kituo asitoe dhamana kirahisi. Itabd uyo jamaa alipe zile pesa ndo Dem atoke maana ndo mtuhumiwa no. 1 au akaushe Tuendelee kumhenyesha mwanamke. Na nnavomjua mtu wako alivyo na tamaa, jamaa akiingia mitini itakua ndo tiketi ya mwisho ya penzi lao. Wee utakausha TU kimya mpk akupigie magoti, Alie sana. Kisha unachukua pesa utampa akalipe aendelee na kazi. IMEKAAJE IYO BROTHER"
Nkamwambia "perfect[emoji4][emoji106]"
Inaendelea.....
Brother pond...ni hivi hivi viumbe ukiwa navyo kitandani haitakiwi uvionee haya au kujifanya sheikh au padri. Mnapofika kitandani kila mtu anavyua vyeo vyake alivyonavyo ....Twende kwny uhalisia[emoji4],
Hivi kwanza mkuu unapata wapi ujasili wa kumbinua hivi mama anokuzalia watoto wako,
Mwanamke mcha mungu,ambae hakosi misa yoyote takatifu.
Mwanamke ambae ulimlipia mahali
Ukapiga goti mbele yake kumvisha Pete
Ukakabidhiwa rasmi kabisa na wazazi wake[emoji4][emoji116]
Onesha uongo uko wapi?Nimeishia hapa "Akasema, "Iyo plan iwe Ni kumpa pesa kama 5mil azipeleke benki. Kisha Ntakupa tip, utaseti vijana watamkwapua zile pesa. Kisha Mimi ntajifanya sielewi chochote nnachotaka pesa zangu zirudi NO EXCUSE"
Story ya uongo!
Nyboma bhan eti wafah Sana kuwa mchepuko mzee wa threesomeFungua PM yako
Hata sidhn,We unachukulia poa[emoji23]
Sio kumuonea haya,Brother pond...ni hivi hivi viumbe ukiwa navyo kitandani haitakiwi uvionee haya au kujifanya sheikh au padri. Mnapofika kitandani kila mtu anavyua vyeo vyake alivyonavyo ....
Infact wanawake zetu ni mfano wa mashamba yetu, so unayalima kwa zana yoyote unayokuwa nayo... Unampinda na kumbinua unavyotaka...go wild and rough as much as possible ...F**k her as you f##k a bitch ,hiyo ndiyo principle. Spank,choke and smash her pu$$y vile unavyoweza ili mradi mwisho kila mtu afike ktk climax...No mercy
Ukimuonea haya inakula kwako.
Nipo ktk ndoa for years, najua jinsi wanawake wanavyobweteka hasa wakishazaa... Mbaya zaidi ukute ulikuwa na mchepuko kabla hujamuoa na ukute mtoto mwenyewe alikuwa akikukonga nyoyo ila kutokana kuwa siyo wife material ukaamua kumuoa mwanamke uliyenae... Hapa kwenye ndoa lazima urudi tu kwa mchepuko wako...unakuta mtoto unapiga hadi vinne na bado hakwambii kuwa kachoka ,ana enjoy sex,...ana high libido, mtamu na mahaba anayajua..aisee hapo lazima urudi tuWee Kama unasimulia maisha yangu kabisa[emoji4]
Onesha uongo uko wapi?
Sio unabisha bisha TU uonekane na wee umebisha