Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Shos kitu cha wora kipo mama?? Tusije kwama ujue mi nna njaa zangu ujue!🤣🤣🤣🙄🙄🙄🙄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa hapo ndio umejiroga mwenywe bila ya mganga UNAMPENDAAA SANAAA .Najua wazi unataka umuweke katika line yako unayotaka ili umuoe lkn huyo demu bado hajajitambua ,mimi nafikiri mueke kiti moto umueleze ukweli nia yako na matarijio yenu ya mbele ili upate kula sambusa zako kiulaini na halali zaidi ya hapo huyo demu atakuchezea sana sababu na yeye anaangalia life yake anoogopa any time unaweza kumpiga na chini.
Sina wazo la kumuoa, tengua iyo kauli mkuu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwiiiiisha habari yako.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787]Ntafanyaje Sasa mkuu,
Na yeye ndo utamu wangu wote ulipo.[emoji4]
Wee acha kabisa, Kuna wanawake Ni watamu balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa!!

Hapa tukusaidie namna ya kuishi naye.

Sahau kuhusu kumwambia kuwa ulikula mdogo mtu.
Atakuvuruga ufeeee!!
Kwanza atakublackmail na hiyo issue. Atawithdraw unayoyapenda ili umfanyie makubwa kama compensation.
Pili, atakutombea hiiiivi unaona
Tatu, Atakuacha (sio kuwa anakuacha) ila ili akupanguse vizuri.


Kwa kifupi haupo salama!!!
Natamani nikwambie umuache , ila nani hataki good sex bana!!
Ngumu sana kumuacha mwanamke/mwanaume mtamu aiseeeh.
Wala sikushangai!!
 
Sasa!!

Hapa tukusaidie namna ya kuishi naye.

Sahau kuhusu kumwambia kuwa ulikula mdogo mtu.
Atakuvuruga ufeeee!!
Kwanza atakublackmail na hiyo issue. Atawithdraw unayoyapenda ili umfanyie makubwa kama compensation.
Pili, atakutombea hiiiivi unaona
Tatu, Atakuacha (sio kuwa anakuacha) ila ili akupanguse vizuri.


Kwa kifupi haupo salama!!!
Natamani nikwambie umuache , ila nani hataki good sex bana!!
Ngumu sana kumuacha mwanamke/mwanaume mtamu aiseeeh.
Wala sikushangai!!
Shukran Sana kwa USHAUR na kuntia Moyo mkuu snowhite


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787]Ntafanyaje Sasa mkuu,
Na yeye ndo utamu wangu wote ulipo.[emoji4]
Wee acha kabisa, Kuna wanawake Ni watamu balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exaaaactly my point
Utafkr ulijua ninachotype kwenye my previous comment.
Mtu mtamu ngumu kupata aseeeeeh.
Hata mimi ningevumilia huo upuuzi wake mwingi tu.
Baadae sana ndo ngejisort.
 
Hapo mbili na tatu sijapaelewa vizur,ufafanuz[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
2. Atatafuta watu wako wa karibu, wote awape mambo.
Na atahakikisha unajua. Na hamna kitu utafanya.

3. Atakwambia muachane( Huyu smeshajua)
Anaweza kukufanyia upuuzi wote na humwachi.
So anaposema muachane, anamaanisha ANAKUACHA, since yu cant stand that, utarudi kwa kubeg, ukicrawl kabisaaaa.( amekuwa akifanya hii mbinu yeye akiwa na makosa na bado unampokea).
Piga picha, wewe ukiwa ndo mwenye msala.

Yani tu UNADATE MWANAMKE PASUA KICHWA.
 
Shos kitu cha wora kipo mama?? Tusije kwama ujue mi nna njaa zangu ujue![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kipoooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kipoooo.
Nawaona TU mnavopanga mipango yenu ya UGAIDI[emoji3]

Hivi Nyie wanawake lengo lenu niishi maisha mafupi eeeeh?[emoji848]

Uyu nlienae ananipasua KICHWA,
Nikiongeza vivuruge wengine Si ndo kabisa ntavaa boksa kichwani[emoji12]

Ha ha hA....[emoji4]
tapatalk_1588499088621.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Something ameingggg very unique.....!! Mmmmmmaaaaaaaahhhhh a.k.a woraaaah!!![emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Ulijuaje Aisee....[emoji4]
Hapo ndo penyewe haswaaa[emoji39]

Yaan nikifikiriaga yanavomwagika akili yangu huwa inavurugika kwa MDA[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unamganda MTU kama jini. Unatengenezea hadi movie ili umrudishe ngamani.uselfish.
Ujue nae anachoka anabidi aolewe wewe umekomaa tu mpk umzeeshe.
Kumuacha utamuacha, tena ukifulia itakuwa faster.
 
Mkuu unamganda MTU kama jini. Unatengenezea hadi movie ili umrudishe ngamani.uselfish.
Ujue nae anachoka anabidi aolewe wewe umekomaa tu mpk umzeeshe.
Kumuacha utamuacha, tena ukifulia itakuwa faster.
Unanishaur Cha muhim nitafute Ela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom