Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Dogo naendelea kumla, mpk Jana nilikua nae.
Sema show zake sio kivile kama alivyo dada ake

Dada ake fundi Sana aisee,
Japokua na changamoto zake kibao Kuna MDA huwa nammiss Sana msumbufu wangu yule[emoji4]
 
Hahahha au ndo Ile siku ya kuachana unampakia mkongo alafu ukitoka hapo.....badala ya kumuachia posho unamuachia kimemo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Aaah wapi,
Tena ungejua mwanamke yule show za kibabe anapenda Sana.
Ana pumzi na stamina ya kutosha.

Ayo mavumbi utaishia kumfurahisha TU.
No tofauti kabisa wanawake wore nilowai kutana nao[emoji4]
 
Tunapitia mengi,
Na nashkuru humu huwa napata fursa ya kufunguka ya moyoni.

Visa Ni vingi sana MDA Ni mchache[emoji4]
Wanaume mnapitia mengi, unajua hayo ni mateso eti 😃😃.. Ila mara nyingi kuwekeza kwa mchepuko huwa ni hasara ujue.. imagine hapo angekua na mtoto wako, hujalipa ada, kodi, na matumizi ya nyumbani.. bado mchepuko hajakuvuruga siku akufurumushe rudi kwa mkeo sikutaki, hapo bado hujajificha usijulikane kwa wife ubaki na siri.. it’s terrible man 🤔
 
Kwa tabu anazonipa ningeshapata replacement yake ningeshampiga chini MDA Sana.

Ngoja nipambane nae hivo hivo kwanza, kitaeleweka uko mbele ya safar[emoji4]
 
Wanawake wasubufu huwa watamu sana.

Huyoo mchepuka kumuacha sio rahisi kama. Ila chunga usimpe dogo mimba huyo mwanamke atakua au atakuharibia ndoa.
Na anavotaka kuzaaa na Mimi ndo kwanza namkwepa
 
Wanaume bhana ! Huja jifunza lolote wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu...hapo umenasa wewe...huyo dem huezi kumuacha ila jitahid nyumba usimpe wala mimba usimpe...halafu sa hv wekeza home...ujue malaya kumuacha ni ngumu sana tatizo lao hawana shukrani na hawakumbuki fadhila...

Kingine pia wanaongezea na kauchawi kidooogo....!
 
Yeah, niga kasuka movies mradi arudi kupapasa papuchi, serikali itoe tozo kwenze penzi kuna hela nyingi maana kichwa cha chini hakina adabu.
Hii ni balaa kisa cha huyu jamaa kina tofauti kidogo na changu kwakuwa yeye anatumia mkwanja sana ila mimi mchepuko wangu huwa tunakosana nauacha alafu ananitafuta mwenyewe. Sio sababu ya hela ila vile namsugua. Daaah wanaume hatari.
 
Ana camel toe, ana utelezi mwingi ana maji lazima unase rafiki yangu, pole nimesoma yote hadi kulowana, unaonekana mbabe sana wewe juu ya kitanda

Ushauri wangu achana na huyo mchepuko atakuharibia sana pole rafiki
 
Yaan ujue mkuu kuna mda nlikua onja onja kutafta mbadala wake ila nikashindwa.

Kuna ile Hali unajikuta unasex na mwanamke mwngine afu unajikuta hauenjoy kabisa ile moment.

Unajikuta unammiss Katikati ya tendo, sometimes hata bao kupiga Lazima utengeneze picha yake kichwani kua uko na yeye ndo nikojoe.

Kuna vitu ukisema watasema nimerogwa, ila ukweli yapo na yanatukuta wanaume wengi Sana.
 
Mwisho na simu yangu ndio imefika 1% asante kwa story ndefu ila kisa ungekifupisha tu! Kimemaliza chaji yangu😅😅😅sema huyo demu mchepuko wako kwa hizo tabia kama sio mchaga basi mniuwe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…