Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Choko choko zipo tuu mbona huwez kuzikwepaa... hapo na wivu wanakuonea ujue
 
We muache tu kuna yule mwenye kesi mahakamani na mchepuko... yakimkuta atarudi tutamfarijii
 
Mkuu hii yako haijaisha tunaomba muendelezo hata wa unaokuja najua kuna mengi tunapaswa kujifunza kutoka kwenye hii story yako yani hapa nawaza mwisho wa mahusiano yenu utakuwaje na naona kabisa kama ile nyumba anadhani ni yake [emoji23]
Hapa kama sio kutiwa genye na mistyle style unajifunza nini
 
umeanzaaa na wewe
Udogoni aliruka stage wakati wengine wanachezea hizo vitu sasa ndo kapatia muache aizoee
Inawezekana sana maana mtu mzima mwenye majukumu kiasi flani hawezi fanya/fanywa boya kiasi hiki na mchepuko.

Kupelekeshwa namna ile atapelekeshwa limbukeni wa sex na ambae hana uhakika kwamba atapata sex anytime he wants.

Nahisi hii story ni story tu kama story nyengine na sio kwamba imemtokea jamaa yeye kama yeye
 
Ni ya kweli ...ww huamini eeh
 
@Pendael24 alijuta kupita mtaa huu usiku wa manane. Na ashukuru nililala 4some ingemhusu tena ya lazima apende asipende ashachojolewa. Atakeshaje bar wakati hanywiii??kama sio kutuchora wanywaji ni nini
Hahahaaa hakika 4some ingemuhusu bora alikimbia mwenyewe🤣🤣 Pendael24 siku nyingine ukituvamia tutakulazimisha utake usitake!!😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…