Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Ila sema nini?? Nina mashaka na umri wako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlipitiwa na ucngziii nkalala km falaBado naandika,
Kuna vitu flan hapa vinanipotezea utulivu fhivi maana Niko eneo la msiban MDA huu.
But naikamilisha soon[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Choko choko zipo tuu mbona huwez kuzikwepaa... hapo na wivu wanakuonea ujueMmeanza chokochoko Sasa, uchochezi huu[emoji4]
Umewaona Hawa walimwengu mahondaw ?
Kesho watafata na kwako pia Nakadori [emoji4]
Na Keshokutwa tutaskia na kwa Noelia [emoji4]
Afu pia Mtondogoo watahamia kwa Tinsley [emoji4]
Hapo bado hajatajwa cocastic[emoji4]
Yaani Basi TU ili mradi wanichanganye kichwa mpk zikamfikie Mchepuko wangu anune akaninyime tunda langu[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
We muache tu kuna yule mwenye kesi mahakamani na mchepuko... yakimkuta atarudi tutamfarijiiNiliposoma mada yako hii nilijiongeza tu kuwa pale ulinipiga na kitu kizito kichwani,, demu Yuko njema tatizo brain aisee na atakusababishia matatizo sijui hata tukusaidiaje hapa maana unakiri mwenyewe hapa kuwa hamnazo ila ndo umenasa, muhimu usiache akili yako nyuma ukiwa nae, angekuwa vizuri upstairs angefaidi sana maana hauko mchoyo, wala mbabaishaji
cocastick bado jinsia yake inachunguzwa ina utata mwingi .
Hehehehe mwenyewe nimelala nimenyeshewa tepetepeee na hii mistory yenuuKampe kampani Pendael24 namuonea huruma the way anavoteseka TU Apo kitandani kwake MDA huu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
@Pendael24 alijuta kupita mtaa huu usiku wa manane. Na ashukuru nililala 4some ingemhusu tena ya lazima apende asipende ashachojolewa. Atakeshaje bar wakati hanywiii??kama sio kutuchora wanywaji ni nini
Hapa kama sio kutiwa genye na mistyle style unajifunza niniMkuu hii yako haijaisha tunaomba muendelezo hata wa unaokuja najua kuna mengi tunapaswa kujifunza kutoka kwenye hii story yako yani hapa nawaza mwisho wa mahusiano yenu utakuwaje na naona kabisa kama ile nyumba anadhani ni yake [emoji23]
umeanzaaa na weweIla sema nini?? Nina mashaka na umri wako mkuu
Mkuu nawewe ukisoma unazipata hizi? Nilidhani sie tuuHapa kama sio kutiwa genye na mistyle style unajifunza nini
Ungeniita mkuu, na mimi nililala mkakamavu ssnaa..Hehehehe mwenyewe nimelala nimenyeshewa tepetepeee na hii mistory yenuu
Nyie bwanaaa
Inawezekana sana maana mtu mzima mwenye majukumu kiasi flani hawezi fanya/fanywa boya kiasi hiki na mchepuko.umeanzaaa na wewe
Udogoni aliruka stage wakati wengine wanachezea hizo vitu sasa ndo kapatia muache aizoee
Ni ya kweli ...ww huamini eehInawezekana sana maana mtu mzima mwenye majukumu kiasi flani hawezi fanya/fanywa boya kiasi hiki na mchepuko.
Kupelekeshwa namna ile atapelekeshwa limbukeni wa sex na ambae hana uhakika kwamba atapata sex anytime he wants.
Nahisi hii story ni story tu kama story nyengine na sio kwamba imemtokea jamaa yeye kama yeye
Naamini ila yanatia mashakaNi ya kweli ...ww huamini eeh
Hahahaaa hakika 4some ingemuhusu bora alikimbia mwenyewe🤣🤣 Pendael24 siku nyingine ukituvamia tutakulazimisha utake usitake!!😜@Pendael24 alijuta kupita mtaa huu usiku wa manane. Na ashukuru nililala 4some ingemhusu tena ya lazima apende asipende ashachojolewa. Atakeshaje bar wakati hanywiii??kama sio kutuchora wanywaji ni nini
Kam kauwaaa!!! Hahahaaa.. don't take it serious mkuu!au sio!
Hahahaaa 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee? Ukute mie km zimesoma kuliko hao sasa. Lol