Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Itawasaidia sana tena vijana. Hasa kupata style mpya za kufanya ngono. Hii ya msomali kafia kwenye fiat hata sijui ikoje🤣
 
Aisee mkuu mwanamke kama mchepuko wako ni hatari kwa afya ya ndoa. Yaani anajua sana kucheza na akili ya mwanaume kwa mitego ya hapa na pale mpaka balaa.
Umenikumbusha goma langu moja la kisukuma lilikuwa na pigo hizo, aisee nilipata tabu sana kutengana naye, maana mtoto alikuwa anajua malavidavi.
 
Mwachie aendelee kujimwambafy, naona hata wewe unapata raha ndani ya nafsi yako!
 
Ila wanaume mhh kiboko aisee!!! Achana nae stress akupe mkeo bwana sio mchepuko, halafu mchepuko unakudanga tu wala hakupendi ukisikia mtu kitu ndio huyo sasa... ila Jamani hujionei huruma kweli mbona majukumu mengi hivyo.. hebu waache basi
Yaani mke katulia, Ila jamaa yuko mbio mitaani huko! Weird!
 
Present
 
Msomali kafia kwenye fiat hii ndio ikoje[emoji1787]
Ha ha ha... Huijui?
Mbona ya miaka mingi Sana iyo.

Tena zana ilkua ikiitwa DUMULO DUMULO, wale watu wa Mikoa ya pwani wanaijua sana hii[emoji4]

Sema Sasa vijana wa skuhz ndo mmeitrend Sana na jina la msomali Katia kwny Fiat, limeshika kweli kweli[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…