FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
Mkuu kuna Jambo Baya Sana Litakutokea katika Maisha Yako. Huyo Mwanamke uliyemwacha Nyumbani Nateseka Na Mimba Utampigia Magoti Siku moja. As long As yeye analea Mimba Yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itawasaidia sana tena vijana. Hasa kupata style mpya za kufanya ngono. Hii ya msomali kafia kwenye fiat hata sijui ikoje🤣Ukipeleka kwa Shigongo wanachapa kabisa hii hadithi. Japo nimesoma aya mbili tu za mwanzo, natumaini ni hadithi nzuri iliyojaa mafundisho ya kuisaidia jamii yetu na hasa vijana wanaojaribu kuingia kwenye ndoa huku wakiwa na azma ya kupambana na hekaheka za michepuko. Itawasaidia sana[emoji2221][emoji2221][emoji2221]
Jamaa anaonesha weakness kubwa sana kwa mchepuko..kwamba hajiwezi bila mchepuko.Mkuu kuna Jambo Baya Sana Litakutokea katika Maisha Yako. Huyo Mwanamke uliyemwacha Nyumbani Nateseka Na Mimba Utampigia Magoti Siku moja. As long As yeye analea Mimba Yako
Haya Mambo huwa yana Mwisho mbaya. Kuna Siku mambo yatamharibikia Atakimbiwa ataenda Lia Kwa MkeweJamaa anaonesha weakness kubwa sana kwa mchepuko..kwamba hajiwezi bila mchepuko.
Jamaa ni msukule kabisa kwa huyo maraya careyNa ndo maana ansijasir wa kumjia juu jamaa mpk kufikia hatua ya kumtimua lkn jamaa bado haelew,haon wala hasikiii 😂
Mwachie aendelee kujimwambafy, naona hata wewe unapata raha ndani ya nafsi yako!Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.
Sasa kwa bahat mbaya nilivoenda kupakia, nkakuta Bei za vitu zimepanda Sana uko. Ikabd Ile bajet nlotenga kununulia material za ujenz niongeze nichukue mzigo wa duka Kama nilivopanga. Nkasema huu ujenz upo ntaendelea nao baadae. Nizungushe kwanza. Afu vitu vingine nkavikosa vya muhimu nkavikosa ikabid nirudi baada ya siku 5 tu badala ya wiki 2 Kama nilivopanga awali.
Sasa Nilivorudi nkakuta mwenzangu kanuna, Basi ukawa mzozo akilalamika kwann nmeukataa mchanga wake. Yakawa Kama yameisha.
Tukasex kisha nikaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Baada ya siku 2 Tena nkaenda kusex nae, Kisha nkaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Ile natoka mlangoni Akanivuta kusema
"Hivi wee Mwanaume unanichukuliaje Mimi? Umeniona mi takataka Sana sio?"
Nkauliza "kwann?"
Akasema "Yaan unakuja,unaondoka TU hata ela ya kula huachi.
Kwenye Ujenzi nako sikuelewi elewi naona umerudi ila Sioni material wala ukiendeleza ujenzi
Ilianza unatoa elfu 15, ukaja elfu 5, sikuhizi naona huachi KABISA.
Hivi wee unahisi mi naishije hapa ndani? Au nimekua jini Mimi?"
Nikawa nimecheka nikamwambia
"kwani Maneno yote Ayo yanatoka wapi mpnz wang, wee sinilishakuachia Ela ya kula wiki 2? , leo wiki ya pili ndo imeanza unaniombaje Ela sasa?"
Akasema,
"Unaemchekea Nani,hapa utoki Lazima unaichie Ela..." Uku ananisachi.
Nikawa namtoa hatoki anaendelea kunikagua mifukoni, nikona uyu mpumbavu.
Nikamziba Kofi, akaiachia suruali yangu.
Nikamwambia,
"ukome na uwe na adabu unapokua unaongea na mm, tabia ya kunisachi Ni ya kimalaya na ife Mara Mona. Usije unarudia huo upuuzi Tena"
Basi nikaondoka zangu.
Sasa kesho yake Sina hili Wala Lile wakapitishwa samaki wazur Sana dukan kwangu.
Nikanunua mafungu mawili, moja likapelekwa kwangu jingine nikamtuma bodaboda wake ampeleke mchepuko kwake.
Basi baadae boda Akanambia kafikisha mzigo, ikabd Nimpigie kumjulisha achukue samak mmoja anichemshie supu jion ntapitia kunywa. Akawa hapokei.
Basi nikamtumia sms.
Ile jion nikapitia kwake kunywa supu yangu, Ila nafika nagonga akaja mlangon akasimama wima.
Akasema,
"Eeh baba wee, ishia uko. Ukitaka kuingia nyumba hii tekeleza nnayoyataka"
Nkamuuliza "yapi Ayo"
Akasema
" kwanza-uwe unanipa elfu 20 yakula kila siku
Pili- unimalizie ile nyumba ndani ya mwezi huu
Tatu- uweke zamu yakulala kwangu.
Huwez kutekeleza Ayo Basi ISHIA HAPO HAPO NJE"
Nkamwambia "sawa"
AkAuliza
"Iyo sawa maana ake Nini, afu ilo jibu lako silipendi linanikera Sana"
Nkamwambia ,
"Sawa maana ake siwez kutelekeza Ayo unayoyahitaji kwa Sasa"
Akasema "aya, ishia huko huko. Wako wanaume wengi sana Kama wewe wanaoweza kutimiza nnayoyahitaji"
Nkamwambia "sawa wakakutimizie Basi"
Akasema " akarud ndan na kufunga mlango wake"
Sasa,
Nikabaki pale nje nimeduwaa, maswali mengi kichwani. Kisha nikaenda zangu nyumbani.
Ni siku ya 5 Sasa karudi kwenye ule utaratibu wake w zamani wa kurusha vijembe status,
Naziona status zake kibao kila Mara, nabaki najiuliza.
[emoji117]Hivi uyu mwanamke ananichukuliaje kwanza?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajiona special Sana eeh?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kua hapo anapokaa Kodi anahamia nmelipia mm?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua Apo anapojimwambafai nishapita na mdg wake?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kwamba Apo anapofanya kazi yupo kwa mgongo wangu mimi[emoji848]
[emoji117]Au nimuundie zengwe Tena ahangaike na Dunia ili akili imkae[emoji848]
Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI[emoji848]
Mwisho
Yaani mke katulia, Ila jamaa yuko mbio mitaani huko! Weird!Ila wanaume mhh kiboko aisee!!! Achana nae stress akupe mkeo bwana sio mchepuko, halafu mchepuko unakudanga tu wala hakupendi ukisikia mtu kitu ndio huyo sasa... ila Jamani hujionei huruma kweli mbona majukumu mengi hivyo.. hebu waache basi
Ile ya kwanza alinipata! Ila mrejesho umeonesha hii ni story ya shigongo. Kwanza nadhani DeepPond ni kijana ambaye hajaoa.Sijasoma yote ila serikali wawekee VPN huu uzi maana ni muvi la x..😃
PresentMrejesho[emoji4][emoji116]
Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?
Habar zenu wakuu, Nakumbuka January nilileta kisa hapa cha Mchepuko wangu Pasua KICHWA[emoji116]Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai? Nashkuruni Sana kwa mwitikio, maoni ,michango na ushaur mbali mbali mlotoa (MUNGU AWABARIKI SANA). Wengi walinishaur...www.jamiiforums.com
Cc: Nakadori
Tipstipstor
Tinsley
@Extroverts
mbalizi1
mahondaw
cocastic
KENZY
Offisho_Kid
mkwepu jr
Noelia
reymage
Dinazarde
buffalo44
kallenge
Katriel
Lovelovie
chuma cha mjerumani
maishapopote
unaamini story ya kweliDah mkuu nikiri tu kuwa huwezi kumuacha huyo mchepuko.....limbwata la huyo mchepuko kwako ni jinsi gani anaweza kuitumia papuchi yake! Demu anaejua (kufanya) mapenzi muogope sana!! Unaweza kujikuta unamsahau mke wako hivihivi.
Sometimes najiuliza maswali lkn sipati majibu,hv huyu ni yuleyule DeepPond niliyempa heshima kwenye lile jukwaa la migodi Kule hlf ana story km hz?Wengine walkua wanauliza uyo mchepuko wako huwa anakufanya kufanyaje uku chumban, nkaamua kuelezea A to Z point to point[emoji4]
Ha ha ha... Huijui?Msomali kafia kwenye fiat hii ndio ikoje[emoji1787]