Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Halafu mkianza hiyo kazi yenu muwe mnaingia na ndoo ya maji ya kunywa chumbani,hamuoni kama mnapoteza muda kufuata maji jikoni?
Kuna siku Kaniomba nimnunulie kifriji kidg au water dispenser kidg kiwe kinakaa jikon.

Afu Siku za mechi kinasogezwa chumbani

Sema Mambo meng nasahau, afu hesabu flan hazija kaa sawa, zikija kukaa sawa ntafanya hivo.[emoji4]
 
Kuna siku Kaniomba nimnunulie kifriji kidg au water dispenser kidg kiwe kinakaa jikon.

Afu Siku za mechi kinasogezwa chumbani

Sema Mambo meng nasahau, afu hesabu flan hazija kaa sawa, zikija kukaa sawa ntafanya hivo.[emoji4]
Fanya hivyo ticha[emoji23]
 
Mmmmh hamnaga kinyaa[emoji53][emoji53]
Huwa Sina kinyaa Sana sana,ila uyu mwenzangu yeye kapitiliza.

Na hapo hajanywa wine kidg, siku akinywa mnaweza kua kwny folen akafunga tinted afu akawa anakunyonya barabaran.

Kuna siku almanusra nisababishe ajali tunatokea coco. Niliacha kabisa mchezo huo wkt nko barabaran.[emoji4]
 
Back
Top Bottom