Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ukweli unaujua ila jeuri ya kipato na ulevi wa kuatamia Mbunyende Mbunyende ndio tatizo, usisahau mchongo wako na meneja wa shell umeishaje na mgao ulikuwaje? Chief Nanga and Chief Koko in the making.
 
Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.
Mwamba kipaji unacho cha uandishi wa simulizi. Big up Mwamba
 
Mimi pale alivyoshindwa kumla mdogo wa mchepuko alivyorudi bar usiku nikaona ni Chai hakuna mwanaume wa hivyo

Hakuna mwanaume ako na akili zote anafanyiwa visa na mchepuko kiasi hicho, lakini bado kang'ang'ania kama kupe...

Hakuna mkuu wa kituo cha polisi anaweza ingia deal la sijui kutaka rushwa kwa watu wanaolipiziana visasi vya mapenzi...

Acha tuisome tu kama stori kwa sababu imetungwa kwa mtindo wa tamthiliya na kiasi fulani inaleta shauku kuisoma kujua nini kilifuata
 
Boss huyo mchepuko akija kupata mimba utaharibu ndoa yako,atakusumbua sana na mwanamke akiwa na damu yako huna ujanja, huyo na mdogo wake wanakupendea pesa tu, ijali familia yako. Ila kama unataka watoto wenye mama tofauti endelea na huyo mchepuko lkn pia tuwapende wake zetu maana wanavumilia mengi sana, hata ukiwa na mchepuko usimpe hadhi ya kama mke
Kaka unajielewa sn nmependa comment yko!! Mbaya sana kumpa hadhi sawa mchepuko na mke!! Wee Fanya uzinz wako kwa kuwa umeamua ila tambua mke anaumia na wakat mwingin unaweza fikir ajui mambo yako ila ukweli anajua nje ndan!!
 
Nakumbuka mwaka Jana February niliwai leta kisa humu Cha kumchapa makofi mchepuko wangu.

Ebana eeh, Yule mchepuko mwezi machi katikati tulikuja rudiana bhana, Mazingira ya kurudiana ilkua baada ya mwezi hivi wa ukimya baina yetu Udhaifu wangu wa nyege juu yake ulinifanya nimrudie kwake usiku mmoja baada ya kummiss sana show zake. Nilimkuta seblen amekaa anakula dinner, nami sikumsemesha nikakaa kochi la pembeni kimya. Naye Bila kunisemesha alipomaliza kula Akapitiliza moja kwa moja mpk chumbani kwake.

MDA SI mrefu Nikaskia maji yanamwagika bafuni nikajua bila Shaka alkua anaoga)Baada ya nusu saa hivi,Nikaskia taa ya chumban kwake inazimwa. (Kuashiria kwamba analala Sasa)Nami nikamfata uko uko chumban, nikamkuta kitandan keshajifunika shuka kichwan mpk miguun. Nami nikaingia humo humo kwny shuka,nikagundua yuko uchi wa mnyama, nikaanza kumpapasa unyayoni mpk utosini.
Nikazama chumvini kwa mkao namba 69, Nae akaanza kuonesha ushirikiano kwa kunilamba koni.Basi tukasex ivo ivo kibubu-bubu Hakuna anayemsemesha mwenzie zaidi ya miguno ya utamu tu mpk wote tulipotosheka. Nikaenda kuoga, Kisha nikavaa nikamchum, nikaacha posho ya meza kisha nikaondoka zangu kwangu.

Basi kesho yake mida ya saa 4 asbh, akanijulia Hali nami nikamjibu poa. Basi mahusiano yakawa kama ndo yamerudi upya. Basi jion yake akanambia nipitie kwake anamazungumzo na mm. Kweli nikaenda kufika nikakuta wine na vikorokoro kibao vya kimahaba kaniandalia.
Tukala na kunywa Kisha Akaniomba msamaha kwa yaliotokea na kuahidi hatorudia Tena anataka tuanze upya bado ananipenda Sana.
Anyway, Nikaona haina shida, as long as ameshakiri kosa Basi Sina budi kumsamehe na maisha yaendelee. Basi tukafanya ya kufanya, nikaacha posho ya meza Kisha nikarudi kwangu Kama kawaida.

Kesho yake mchana akanipigia akiniomba nimpitie, Nikamwambia haitowezekana kwa Sasa Niko nje ya mji na ntarud usiku sana.
Akaniomba yule bodaboda anaembebaga amfate kazin kwake ambebe nami ntalipia, nkasema sawa. Sijakaa sawa akanambia anaomba nimsaidie nimlipie Deni la 42,000 dukani kwa Mangi jiran na anakoishi kipind kile Cha migogoro Hapo katkat alikopa Sana vyakula hakulipa. Nkasema sawa iyo Ela ntakuja nayo wkt nakuja jion kwake.

Ile baada Aya kuongea nae wazo linakanijia kichwan, "Hivi uyu mwanamke ntazid kumpa posho ya meza mpk lini, hivi kwann nsimuanzishie kitu flan kikamsaidia kujikimu kila siku, may be itapunguza utegemez sana kwangu" "Hivi Hii KAZI ya 250,000 mwezi mpk mwezi ataifanya mpk lini? Hivi kwanini nisimtengee hata 2mil au 3mil nimuanzishie kitu chake mwenyewe akisimamie. Itanisaidia na Mimi pia kua huru kuliko kila Mara nawaza namuachaje." Basi niliporud jion nikampa Ela ya boda, Ela ya Deni, tukafanya yakufanya Kisha nikamuachia posho yake ya meza. Ila kabla sijaondoka nikamshirikisha wazo langu, Nikaona kalipokea kwa uzuri na kunishukru Sana akiahidi hatoniangusha.

Nikamuuliza yeye alkua anawaza kufanya biashara gani na eneo gani, eneo akanitajia na biashara akanambia ni vipodozi na urembo wakina mama ndo angefurah kufanya. Basi nikamwambia wee tafuta fremu, ukilipata wee nambie MDA wowote nikupe,ela ya mtaji ipo uanze. Akashukuru Ila nikampa condition moja Tu, Ili nijue uko serious na hili suala Kodi ya fremu miezi 6 ya mwanzo utapaswa kulipa mwenyewe kwa kutumia mshahara wako mwenyewe. Nakuomba usitumie hata Mia ya mshahara wako kwa matumiz yoyote yale mpk utakapofikisha iyo Ela ya kutosha Kodi ya miez 6 kutokana na Bei ya fremu husika utakalopata. Akasema "aya"
Nikamwambia "Mimi nitakupa mtaji wa kuanzia, kabati,shelfu, kiti pamoja na ukarabati mdogo utakaohusu ilo fremu. Vingine vya ziada utajibeba mwnyw". Akasema "asante"

Basi tukaendelea vizur mpk baada ya miez 3 , akanipa taarifa kua jion nipitie kwake kapata ugeni wa mdogo wake wa kike (mtoto wa shangaz yake) kaja kwa ajili ya kuripoti chuo kikuu anaanza mwaka wa kwanza. Akanambia jion nipitie nimuone. Kweli nilipoenda kwake nikamkuta ni BINTI MREMBO Sana na tukasalimiana vizur. Baada ya wiki hivi akampeleka uyo Dogo chuoni kumsajili. MDA SI mrefu akaniomba pesa kidg nimboost kwa ajili ya usajili wake mdg wake eti Ela ya mkopo ilkua haijatoka na akiba ya kula nlomuachia katumia kwa matumiz kadhaa ya mdg wake uyo. Nikasema haina noma. Nikamuingizia Iyo pesa aloomba pamoja na elfu 50 ya ziada......

Inaendelea....​
Asante sana mkuu DeepPond kwa uzi huu lakini ujue tunakumiss sana kwenye lile jukwaa letu; hebu rudi basi mkuu 🤣 😅 😂
 
Hakuna mwanaume ako na akili zote anafanyiwa visa na mchepuko kiasi hicho, lakini bado kang'ang'ania kama kupe...

Hakuna mkuu wa kituo cha polisi anaweza ingia deal la sijui kutaka rushwa kwa watu wanaolipiziana visasi vya mapenzi...

Acha tuisome tu kama stori kwa sababu imetungwa kwa mtindo wa tamthiliya na kiasi fulani inaleta shauku kuisoma kujua nini kilifuata
Siwez poteza MDA eti nikae nitulie nilete chai humu.

Mi Ni mtu mzima kuliko unavoweza nidhania hapa jukwaani.

Naheshimu na kuheshimiwa nawatu mbalimbali humu jukwaani,

Wengine wengi wako humu tunafahamiana sana mpk mtaani kwenye maisha ya kawaida.
(Kama wako interested wanaweza kuja kujitaja wenyewe)

Kama ingekua Ni chai wangeshakuja kunambia
"Kaka hiki umetudanganya, ukweli Ni moja, mbili, tatu n.k.."

Huo utoto wa kuleta stori za kutuga humu ndani wanafanya watoto wa 20s na 30s.

NISHAVUKA RIKA HILO MIMI.
 
Anakufinyia kwa ndani sanaaa...ana anaweka sukari maweee!!!!kazi mnayooo!!![emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]haya bwana ana utamu kumshinda mkeo...?!!!
Kwenye utamu kumliko....
Naogopa Sana kulizungumzia Hilo mkuu[emoji1]
 
Unajua uyu mwanamke hata simpendi kivile Kama nnavompenda wife wang, ndo maana akizingua Namimi namzingua vile vile.

Sema kwenye suala la sex nmeshindwa kabisa kumpata mbadala wake.

She's very special in this area.
Sijui hata nielezeje niweze eleweka mkuu.

Kuna MDA namzingua kwelikweli na nasema apa tunaachana, ila nnapokua na nyege mtu wa kwanza kumuwazia Ni yeye.

Ndo maana Kuna MDA kweli naona napoteza Sana pesa&muda sn kwake,

ila akili inanambia nichukulie POA TU maana sijapata bado mbadala wake.
Ila Akipatikana mi napiga chini fasta.

Ngoja niendelee kukimbizana na uyu uyu msumbufu wangu mkuu, tutanyooshana hivo hivo mpk kitakapoeleweka uko mbele ya Safar.
Aiseeee very interesting
 
Asante sana mkuu DeepPond kwa uzi huu lakini ujue tunakumiss sana kwenye lile jukwaa letu; hebu rudi basi mkuu [emoji1787] [emoji28] [emoji23]
Mkuu,
Mi bado Ni mwanachama mtiifu sana
Kule Napitaga kimya kimya Sana.

Hebu tukayajenge PM kwanza maana avartar yako inanikumbusha milima na mabonde mengi Sana tulopitia kipind kile[emoji4]
 
Sio limbwata dada angu.
Niko na akili zangu timamu kabisa.

Ila kiukweli uyu mwanamke sex ndo suala linaloniweka kwake mpk leo hii.

Kwa tabia zake mbovu mbovu ningekua nishampiga chini MDA Sana.

Can u imagine, mdg wake ni mrembo kuliko yeye na anaonyesha kunipenda sana na ana utu Sana.
Ila Sina feelings nae kabisa linapokuja suala zima la hamu ya kusex nae.
Ndo limbwata hilo sasa wengine unakua unaona hawakutoshelezi,endelea ila kuna thread ya yule jamaa aliyekaa na mchepuko miaka 18 na wewe inaelekea huko hasa akija kupata tu ujauzito utakua umekwisha mwenzio anajuta sasa hivi na kesi iko mahakamani,maana umekubali kuendekeza ujinga mwisho wa siku utakumaliza.
 
Back
Top Bottom