Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Mshenzi wewee![emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Me mshenzi kweli kweli rey wangu
Halafu sku hizi najitamkia tu mambo ya ngono maana hata mtaani naweza ongeleshwa kitu halafu nkajikuta nimetokwa na neno bila kuficha kabisaa.....sjui ni genye au??mhh hebu nibadilikeee
 
You said it all Karucee
 
Ashindwe kabisa ..
Kemea pepo binam.
Sitaki kukosa madini mimi kwa tamaa za mda mfupii.
Nimekua etii
Apo Ndo maana nakupenda Sana binam yangu[emoji39]

Nakuombe mola atujaalie maisha marefu Sana tufaidi mema ya dunia hii[emoji4]
 
Umeiona style ya kufia kwenye fiat[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo style ukitoka mzima shukuru Mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke akiizoea hata haina shida.
Labda tatizo awe na kitambi[emoji4]
 
Hakuna lolote wanafiki hao!mapenzi hayanaga ulokole bwana!wan dhambi kibaoo

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…