Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Mshenzi wewee![emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Me mshenzi kweli kweli rey wangu
Halafu sku hizi najitamkia tu mambo ya ngono maana hata mtaani naweza ongeleshwa kitu halafu nkajikuta nimetokwa na neno bila kuficha kabisaa.....sjui ni genye au??mhh hebu nibadilikeee
 
Hakuna anaukuja full package.

Na ndo maana hata Mrs hayupo complete. Anaweza kuwa wife materials but zile ladha unazotafuta nje hana.

Be a man about it. Nyie ndo wanaume bana mnaweza sana kuturekebisha mkiamua kusimama katika uanaume wenu.

Hujaona some women with questionable characters wanaolewa na kutulia kwenye ndoa? Its because wanaume wao walisimama imara.

Do it.
You said it all Karucee
 
Ashindwe kabisa ..
Kemea pepo binam.
Sitaki kukosa madini mimi kwa tamaa za mda mfupii.
Nimekua etii
Apo Ndo maana nakupenda Sana binam yangu[emoji39]

Nakuombe mola atujaalie maisha marefu Sana tufaidi mema ya dunia hii[emoji4]
 
Umeiona style ya kufia kwenye fiat[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo style ukitoka mzima shukuru Mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke akiizoea hata haina shida.
Labda tatizo awe na kitambi[emoji4]
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haki ya Mungu nacheka kama mazuri.
Sasa wewe kama mlokole ulipita huku kufanyajee? Mtuache jaman. Kwanza binamu naomba pale juu kwenye tittle uweke warning kwamba kama mtu ni mlokole asifungue huu uzi
Hakuna lolote wanafiki hao!mapenzi hayanaga ulokole bwana!wan dhambi kibaoo

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom