Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ukweli unaujua ila jeuri ya kipato na ulevi wa kuatamia Mbunyende Mbunyende ndio tatizo, usisahau mchongo wako na meneja wa shell umeishaje na mgao ulikuwaje? Chief Nanga and Chief Koko in the making.
 
Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.
Mwamba kipaji unacho cha uandishi wa simulizi. Big up Mwamba
 
Mimi pale alivyoshindwa kumla mdogo wa mchepuko alivyorudi bar usiku nikaona ni Chai hakuna mwanaume wa hivyo

Hakuna mwanaume ako na akili zote anafanyiwa visa na mchepuko kiasi hicho, lakini bado kang'ang'ania kama kupe...

Hakuna mkuu wa kituo cha polisi anaweza ingia deal la sijui kutaka rushwa kwa watu wanaolipiziana visasi vya mapenzi...

Acha tuisome tu kama stori kwa sababu imetungwa kwa mtindo wa tamthiliya na kiasi fulani inaleta shauku kuisoma kujua nini kilifuata
 
Kaka unajielewa sn nmependa comment yko!! Mbaya sana kumpa hadhi sawa mchepuko na mke!! Wee Fanya uzinz wako kwa kuwa umeamua ila tambua mke anaumia na wakat mwingin unaweza fikir ajui mambo yako ila ukweli anajua nje ndan!!
 
Asante sana mkuu DeepPond kwa uzi huu lakini ujue tunakumiss sana kwenye lile jukwaa letu; hebu rudi basi mkuu 🤣 😅 😂
 
Siwez poteza MDA eti nikae nitulie nilete chai humu.

Mi Ni mtu mzima kuliko unavoweza nidhania hapa jukwaani.

Naheshimu na kuheshimiwa nawatu mbalimbali humu jukwaani,

Wengine wengi wako humu tunafahamiana sana mpk mtaani kwenye maisha ya kawaida.
(Kama wako interested wanaweza kuja kujitaja wenyewe)

Kama ingekua Ni chai wangeshakuja kunambia
"Kaka hiki umetudanganya, ukweli Ni moja, mbili, tatu n.k.."

Huo utoto wa kuleta stori za kutuga humu ndani wanafanya watoto wa 20s na 30s.

NISHAVUKA RIKA HILO MIMI.
 
Anakufinyia kwa ndani sanaaa...ana anaweka sukari maweee!!!!kazi mnayooo!!![emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]haya bwana ana utamu kumshinda mkeo...?!!!
Kwenye utamu kumliko....
Naogopa Sana kulizungumzia Hilo mkuu[emoji1]
 
Aiseeee very interesting
 
Asante sana mkuu DeepPond kwa uzi huu lakini ujue tunakumiss sana kwenye lile jukwaa letu; hebu rudi basi mkuu [emoji1787] [emoji28] [emoji23]
Mkuu,
Mi bado Ni mwanachama mtiifu sana
Kule Napitaga kimya kimya Sana.

Hebu tukayajenge PM kwanza maana avartar yako inanikumbusha milima na mabonde mengi Sana tulopitia kipind kile[emoji4]
 
Ndo limbwata hilo sasa wengine unakua unaona hawakutoshelezi,endelea ila kuna thread ya yule jamaa aliyekaa na mchepuko miaka 18 na wewe inaelekea huko hasa akija kupata tu ujauzito utakua umekwisha mwenzio anajuta sasa hivi na kesi iko mahakamani,maana umekubali kuendekeza ujinga mwisho wa siku utakumaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…