Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Si namwita Kibatala?
Lazima alie wakati wa cross examination[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahah kibatala anauliza mwaswali hadi shahidi anataka kurusha ngumi mahakamani

Hivi sasa mambo ya kibatala na kingai kwenye huu uzi yametoka wapi[emoji1787][emoji1787] maana hakuna uhusiano kabisa
 
Mchepuko uko pale kufikisha sexual desire za binam. Hapo maendeleo hawawezi ongea na ukute hata akipewa biashara akaishindwa huyo.
Na anavyopenda kufanya biashara Sasa[emoji4]
 
Yanii hajui kwamba kwenye sex hakuna aibu. Ukileta aibu aibu utalala yooo
Sina aibu hataaa, hoja yangu ni kuchapana masaa sita, hizo nguvu nazitoa wapi na umri huu[emoji23] huyu mwamba amepewa nguvu sio poa!
 
Sisi waume za watu tutafika mbinguni tumevurugwa kabisa

😄😄😄😄😄
 
Hahahah kibatala anauliza mwaswali hadi shahidi anataka kurusha ngumi mahakamani

Hivi sasa mambo ya kibatala na kingai kwenye huu uzi yametoka wapi[emoji1787][emoji1787] maana hakuna uhusiano kabisa
Alinitishia kuwa ninamharibia ataniiitia Kingai[emoji1]
 
Hivi unajua unaweza kuwa na mcheps akakushauri/mkashauriana mambo mengi sana! Mcheps sio was kuwekana tu!
Uyu kwangu uwa Hana izo, Zaid Zaid nimshaur Mimi[emoji4]
 
Kuna coloration kati ya uzuri wa kitandani na ukosefu wa akili ????

Nimeona hii inajadiliwa sana. Mara nyingi wanawake ambao wako vizuri upstairs wanakuwa sio wazuri sana on bed.

Hebu tufungueni akili hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…