Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona ulisahau kunitaja akati wote hao unaoanza kuwataja hata robo hawanifikii, hebu niache rafiki kuna mtu huwa anaona shetan ametumwa kwake kupitia mie, huwa ananena lugha zote 20 anazopaswa kunena, chezea weyeeeeee.
Usichezeeee kabisa kitu inaitwa utam[emoji39]
Maji Unaweza ita mma[emoji4]
 
Kwa maelezo ya DP ni kwamba mcheps wake yeye ilimradi tu uache hela mezani atakupa mbususu hadi uombe poo, ila usipoacha matumizi mbususu hupati na vichambo juu

Imagine mtu umesoma na una kipato chako cha kukutosheleza au hata una uwezo wa kujitegemea nq kujisimamia katika mahitaji muhimu, unaweza kuingia kwa mahusiano na mume wa mtu bila kuangalia future ipo wapi? Sikatai kwamba kuna walioolewa na wapo kwenye mahusiano ya nje ila ni kwa ajili ya kujifurahisha na sio kuhudumiwa

Huyo mchepuko kwa sasa angngetakiwa awe na maisha yake ya kujitegemea, i mean aweze kujisimamia, awe na mahusiano ambayo yana future ikiwezekana hata familia, ila shida ni kwamba anamtegemea DP kuanzia kula, kuvaa na kodi, na hatumii hata akili afugue japo hata biashara ndogo itakayomwezesha kujisimamia, nq hatq qkifungua badi inafeli

Kwa mimi naona kama ni mtumwa wa ngono kwa DP kwa sababu kuna huduma anazipata, siku zikikatika atatafuta mwingine wa kumpatia hizo huduma...na utakua mfumo wake wa maisha

DP kama kweli anampenda huyo mwanamke, lazima amweleze ukweki kwamba anatakiwa kufocus kwenye future na aweze kujisimamia, pia aangalie namna ya kumwezesha kujitegemea na kufocus kwenye future yake kwa sababu mwisho wa siku yeye atarudi kwa mkewe na watoto na by then atakua ameshampotezea muda mwingi sana huyo binti na pengine atafika umri ambao hakuna anaetaka kumuoa kwa sababu ya umri mkubwa au sababu nyingine

Back to your point, sina scientific proof kwamba wenye akili sio wazuri kitandani..kuna wasio na akili na kitandani ni magogo kabisa, suala la mapenzi ni mawasiliano na maelewano kati ya couples, kila mmoja awe mwazi kwa mwenzie na kufundishana ili muweze kufurahia, unapoona mwenzio kuna jambo hakufanyii na unapenda kufanyiwa ni bora kumweleza na sio kukaa kimya na kutafuta mchepuko wa kukufanyia
Wa hivi ni wengi mno mjini, mtaji wake ni mbususu tu...na ni msomi kabisa na kadigrii kake kamoja kapo kabatini!!!
 
Mmh, basi watu mko vizuri. Six ejaculations kwa mara moja, wooi..akitoka hapo kesho hawezi kazi zake!
Kwa nini asiweze kazi yake... sema only if mnapendana. Halafu dada K nae anatakiwa awe kwenye hali nzuri. Sio mtu Ana ma infection... mara uti mara fungus utegemee hizo. Kingine wanawake kunyweni sana maji yenye asali ni dawa kubwa sana na huwa inaongeza utamu wa uke na uso kutokunjamana. Sema ndo hvo asali ni bei. Nimetoa siri ya kambi
 
Wa hivi ni wengi mno mjini, mtaji wake ni mbususu tu...na ni msomi kabisa na kadigrii kake kamoja kapo kabatini!!!
Basi kama taifa tuna safari ndefu sana, miaka 54 ya uhuru, ila atlist wanafanya maendeleo, sasa huyu majasmine yeye hafungui hata kabanda ka kuuza chapati
 
Michepuko imejaaliwa sana kuwa submissive kwa wanaume na hicho ndiyo tunapenda, kwa hiyo mkuu hiyo ni silaha kubwa mno akiamua kuitumia vizuri. Na unavyoonekana umeshanasa mtegoni.
Ha ha ha.....
Utamu wake TU mm hoi kabisa[emoji4]
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haki ya Mungu nacheka kama mazuri.
Sasa wewe kama mlokole ulipita huku kufanyajee? Mtuache jaman. Kwanza binamu naomba pale juu kwenye tittle uweke warning kwamba kama mtu ni mlokole asifungue huu uzi
Ngoja nikatete kdg na viongoz wetu waliweke bayana kabisa hili[emoji4]
 
Back
Top Bottom