Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Usichezeeee kabisa kitu inaitwa utam[emoji39]
Maji Unaweza ita mma[emoji4]
 
Wa hivi ni wengi mno mjini, mtaji wake ni mbususu tu...na ni msomi kabisa na kadigrii kake kamoja kapo kabatini!!!
 
Mmh, basi watu mko vizuri. Six ejaculations kwa mara moja, wooi..akitoka hapo kesho hawezi kazi zake!
Kwa nini asiweze kazi yake... sema only if mnapendana. Halafu dada K nae anatakiwa awe kwenye hali nzuri. Sio mtu Ana ma infection... mara uti mara fungus utegemee hizo. Kingine wanawake kunyweni sana maji yenye asali ni dawa kubwa sana na huwa inaongeza utamu wa uke na uso kutokunjamana. Sema ndo hvo asali ni bei. Nimetoa siri ya kambi
 
Wa hivi ni wengi mno mjini, mtaji wake ni mbususu tu...na ni msomi kabisa na kadigrii kake kamoja kapo kabatini!!!
Basi kama taifa tuna safari ndefu sana, miaka 54 ya uhuru, ila atlist wanafanya maendeleo, sasa huyu majasmine yeye hafungui hata kabanda ka kuuza chapati
 
Michepuko imejaaliwa sana kuwa submissive kwa wanaume na hicho ndiyo tunapenda, kwa hiyo mkuu hiyo ni silaha kubwa mno akiamua kuitumia vizuri. Na unavyoonekana umeshanasa mtegoni.
Ha ha ha.....
Utamu wake TU mm hoi kabisa[emoji4]
 
Ngoja nikatete kdg na viongoz wetu waliweke bayana kabisa hili[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…