Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ni nguvu mbili tu duniani zinazowapa wanaume jeuri. Nguvu ya pesa na nguvu ya kusimamisha uume. Kikiondoka kimojawapo au vyote ni mwisho wa kiburi chenu. Unapotumia urijali wako kumuumiza mwenza wako hebu kaa tafakari sababu kesho yetu hatuijui. Kama mke wako ni mwamiminifu, anakuheshimu na kufanya majukumu yake kama mama, nikuombe usimletee majonzi, usimhuzunishe kwa kutenda kosa over and over again . Usaliti wenu hua unatuumiza sana tena sana..siwezi kuelezea. Msitugeuze tujenge chuki ya kimyakimya na ninyi. Hatukuwapenda mwanzo ili tuje tuwachukie baadae. Natamani kuandika mengi ila basi tuu
 
Relaaaaax sister this is how the world goes [emoji28][emoji28]
 
Mkuu hate sijui niseme nn,
Ila uyu mwanamke Ni mtamu Sana.

Yaan Nashindwa hata nielezeeje hii hali, ila kiukweli sio wa kawaida yule.

She's fucking sweet, romantic,hot and sexy sijawai ona tangu nmeanza sexlife[emoji4]
shemu wetu mchepuko ni kabila gani??
 
Cha muhimu heshima dada angu,
Kuchepuka sio kwamba MKE wangu simpendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ule Uzi wa yule mzee na huku uzi kuna mfanano flani hivi wa kimaisha ambayo wanaume wanayapitia, sema huyu bado hajazalisha tu.

Nilichopenda kuna jambo la kujifunza katika nyuzi hizi mbili.
 
Ungedili na dogo na umsaidie asome na kufaulu.iko vizr mkuu ila utamu umekata gafla
 
Achana naye huyo, huo uvumilivu umeonyesha wa kutosha, Endelea kupiga mdogo wake
 
Ana camel toe, ana utelezi mwingi ana maji lazima unase rafiki yangu, pole nimesoma yote hadi kulowana, unaonekana mbabe sana wewe juu ya kitanda

Ushauri wangu achana na huyo mchepuko atakuharibia sana pole rafiki
Njoo nikukaushe/tukaushane maana tumeloa wengi
 
Mkuu DeepPond una kipaji halisi cha utunzi wa riwaya. Ukikitumia vizuri utapiga hela sana hapa mjini. Hongera!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…