Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Mkuu hate sijui niseme nn,
Ila uyu mwanamke Ni mtamu Sana.

Yaan Nashindwa hata nielezeeje hii hali, ila kiukweli sio wa kawaida yule.

She's fucking sweet, romantic,hot and sexy sijawai ona tangu nmeanza sexlife[emoji4]
There are so many sweet pussies out there zenye adabu. Ukipata asiyekuridhisha, mfundishe how you want it in bed.

Huyo mchepuko wako ni mswahili sana aise and hajifunzi hata ufanyaje.

Anyway, muache aendelee kujimwambafai na wewe mpotezeee , usimfatilie cuz utakua na hasira zaidi

Kuhusu sex , akikucheki wewe kapige mzigo acha posho ya meza [emoji1787][emoji1787] but usimshirikishe anything else cha maendeleo cuz she is out of control.Lipa tu kodi, piga mzigo, posho ya meza kaa kimya.

Kingine, kama hauenjoy sex na dogo, achana nae..Acha kujiongezea majukumu wakati hakuridhishi.
 
Mwanaume na akili zake timamu hawezi Kuishi na mwanamke wa aina hiyo,

Mwache aendelee kumuigizia kumuachisha kazi nk.lakini hapa mwisho siyo mzuri kabisa

Atakuja alee mtoto asiye wake

Na mchepuko ukijua katoka na mdoho wake[emoji3]yaani wataungana dada na dogo kummaliza kabisa,,,,kwa hilo wala hajamkomoa maana hapendwi yeye,zinapendwa pesa zake.
 
Niko fit na akili zangu timamu mkuu, nafanya nnachokifahamu[emoji4]
Mzee hiyo NEnda rudi NEnda rudi ,inatia shaka sana,kuna namna hapo ,yaani ulimpangia chumba ukaja kujua anapigwa na Mwalimu aliye masomoni, mkaachana badae ukarudi ukaendelea kuloweka utambi[emoji28]
Shida ni nini mzee? Unayumbayumba watakuwekea hata sumu ukate moto mama Yako apate hasara,achana na hao wapuuzi
Unapoteza Muda mwingi sana
Unless kama story hii umetunga.
 
Mwanaume na akili zake timamu hawezi Kuishi na mwanamke wa aina hiyo,

Mwache aendelee kumuigizia kumuachisha kazi nk.lakini hapa mwisho siyo mzuri kabisa

Atakuja alee mtoto asiye wake

Na mchepuko ukijua katoka na mdoho wake[emoji3]yaani wataungana dada na dogo kummaliza kabisa,,,,kwa hilo wala hajamkomoa maana hapendwi yeye,zinapendwa pesa zake.
Kabisa...Atabeba mimba kwingine halafu ajifanye ya jamaa though mkuu yeye anasema anaijua calendar yake kuliko mwanamke.But mambo yanaweza kubadilika.

Huyo mwanamke na mdogo wote wanamchukulia kama danga tu.
 
Kabisa...Atabeba mimba kwingine halafu ajifanye ya jamaa though mkuu yeye anasema anaijua calendar yake kuliko mwanamke.But mambo yanaweza kubadilika.

Huyo mwanamke na mdogo wote wanamchukulia kama danga tu.
Danga lao,hamnaga wivu hapo
 
Pond kama Pond.... Mwana nakukubali sana kwa uandishi uliotukuka hiyo ni story inayotosha kutengenezewa movie kabisa...yaani nasoma huku taswira inajijenga akilini.

Ushauri wangu ni hivi nilichogundua huyo mwanamke ni malaya tu kama malaya wengine...tunawaita ni gold digger. She only needs you to solve her problems ila mapenzi ya kweli na wewe hana ..na kikubwa kinachokuponza ni HURUMA NA NYEGE....Nothing else!!!

Ukiwa na pesa unagombana nae....mnakaushiana ila unarudisha majeshi baada ya mwanamke kumwaga MACHOZI.. Hapa unaingia huruma na pia NYEGE zako zinakupeleka umgegede upya na hapo mnarudisha mahusiano.

Ukiwa "huna pesa" au umepunguza huduma kwake , mwanamke ANAKUKATAA ,ANAKUBEZA na KUKUKASHIFU....Solution unayoona hapa ni kumuharibia mitikasi yake ili umrudishe katika msoto ambao mwisho wake anarudi tena kutoa MACHOZI..hapa HURUMA inakurudia tena na kutokana umemiss shoo zake NYEGE zinakurudisha kuanza nae mahusiano yenu upya.

Kiufupi hii ni Viscious cycle ya SHIDA,HURUMA na NYEGE....hakuna mapenzi baina yenu ila mpo kwa ajili ya mutual benefits...yaani wewe umtatulie matatizo yake ya kiuchumi na wewe akutatulie shida zako za kimwili ila MAPENZI na HURUMA baina yenu HAKUNA.
 
Mkuu umenichekesha kitu kimoja kila ukienda kuchakata mbususu unaacha kodi ya meza[emoji1787][emoji1787]
Kodi ya meza muhimu sana mzee mwenzangu[emoji4]
 
Kabisa[emoji3],haiwezekani mwanaume unapelekeshwa kama gari bovu

Yaani kakuweka kiganjani,lolote chochote anafanya na hauwezi muacha katu

Halafu unamoyo[emoji3],ticha kapasha na unajua nawe ukaunga tela[emoji41]
Kupasha sio tatizo, Cha muhimu share yangu itolewe kwa usahii[emoji4]
 
Pia naweza kusema kuwa huyo mwanamke si mwanamke wa kutengeneza nae maisha...wapo MICHEPUKO inajielewa nini maana ya MAISHA. Ila huyo yupo kwa ajili ya kukutumia.

Hapo alipofikia uamuzi utakaoutumia ni kama ule wa mwanzo ,kumtia adabu...ila mwisho atakuja kukulilia na utamsamehe na mtarudisha tena mahusiano....ili kusitisha hili gurudumu nakushauri kuwa mkatae mazima....yeye kamwaga mboga wewe unabeba ugali unasepa nao mboga utaipata mbele ya safari. Achana nae mkuu , ume invest vya kutosha ila ROI ( Return of investment) hakuna ni zero, null, sufri,Nada....empty.

Huyo mwanamke akili yake haiko sawa , infact wanawake wengi tunaishi nao ila wana upungufu mkubwa wa akili na kufanya maamuzi, atakupasua kichwa...achana nae mazima ulivyowekeza kwake fanya kama umevigawa sadaka tu..hutegemei malipo yoyote. Malizia ujenzi wa pagala lako lipangishe chukua kodi....tafuta MCHEPUKO UNAOIJIELEWA maana nikikwambia ukomae na MKE WAKO jambo hilo ni gumu kwako...huenda mke wako hakuridhishi sana kiufundi kitandani tofauti na anayokupa MCHEPUKO.

Kuendelea na mdogo wake sio jambo lenye afya njema maana unakuwa bado unaendelea kumhudumia dada mtu. So ni yale yale....

Break this viscious cycle ....anza upya !!! Huenda pia mkuu ulishatengenezwa na huyo mwanamke kiasi akili yako hairuki kwake au inatokana pia umeshakunywa maji maji ya uchi wake hii ni sumu sana cuz wanawake huwa wana harufu fulani ya uchi ambayo ukiinasa tu basi wanawake wengine wote utawaona kama takataka tu...ni ngumu sana kumuacha mwanamke wa aina hiyo hata kama itakuja utamfumania ila bado ile harufu ukikaa muda mrefu bila kuipata tu unaanza kuimiss na unamtafuta muyakumbushie upya
 
Pond kama Pond.... Mwana nakukubali sana kwa uandishi uliotukuka hiyo ni story inayotosha kutengenezewa movie kabisa...yaani nasoma huku taswira inajijenga akilini.

Ushauri wangu ni hivi nilichogundua huyo mwanamke ni malaya tu kama malaya wengine...tunawaita ni gold digger. She only needs you to solve her problems ila mapenzi ya kweli na wewe hana ..na kikubwa kinachokuponza ni HURUMA NA NYEGE....Nothing else!!!

Ukiwa na pesa unagombana nae....mnakaushiana ila unarudisha majeshi baada ya mwanamke kumwaga MACHOZI.. Hapa unaingia huruma na pia NYEGE zako zinakupeleka umgegede upya na hapo mnarudisha mahusiano.

Ukiwa "huna pesa" au umepunguza huduma kwake , mwanamke ANAKUKATAA ,ANAKUBEZA na KUKUKASHIFU....Solution unayoona hapa ni kumuharibia mitikasi yake ili umrudishe katika msoto ambao mwisho wake anarudi tena kutoa MACHOZI..hapa HURUMA inakurudia tena na kutokana umemiss shoo zake NYEGE zinakurudisha kuanza nae mahusiano yenu upya.

Kiufupi hii ni Viscious cycle ya SHIDA,HURUMA na NYEGE....hakuna mapenzi baina yenu ila mpo kwa ajili ya mutual benefits...yaani wewe umtatulie matatizo yake ya kiuchumi na wewe akutatulie shida zako za kimwili ila MAPENZI na HURUMA baina yenu HAKUNA.
Bonge la summary,
wengi sana wameisoma ila hawaijaelewa uyu msumbuf Niko nae kivipi na kwann naendelea kua nae.

Wee jamaa Ni bonge la geneous[emoji4]
 
Back
Top Bottom