Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Me nkiwa wa akiba mbona kibao kitageuka... saa mwanaume ukishamjua udhaifu wake si unampeleka kibra unavyotaka... sema me huyu binam bwana.
Uyo asitake kututia majaribuni bhana binam yangu[emoji4]
 
Yaani kuna siku tulikua tunaongea na wadada Fulani hivi kuhusu kukojao wanawake wameolewa jamani akauliza kukojoa ndo nini[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mwanamke kaoleea huyooo...hajui na hajawahi kukojoa!ndo hao sasa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sasa huyo ampate mwanaume amkojoze [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona atakuwa hasikii haoni achana na kukojozwa bwana ule utamu uleee
 
Ukishaona upo na mtu and the only topic on the table is sex sex mda wote...aah hapo kuna tatizo, mmeunganishwa na sex tu hata kushauriana life na mengine hakuna...aaah!

Anyway zangu ni akili za kizee nadhani.
On point

Watu mnakesha kufanya sex usiku na mchana hivi hata huwazi mambo mengine ya maana au hamzungumzi jambo lolote la msingi

Huyo mchepuko msingi kiuno kwa kweki sio bure
 
Hajakaa na washenz kama mm
Kwanza zikiwa nyepesi tu najua kuna walakini
Sema bi mkubwa kajiridhikia
Hana maujanja hayo, sema mchepuko Ni nuksi.

Anajua Hadi una mda gani umetoka kusex[emoji4]
 
Ukishaona upo na mtu and the only topic on the table is sex sex mda wote...aah hapo kuna tatizo, mmeunganishwa na sex tu hata kushauriana life na mengine hakuna...aaah!

Anyway zangu ni akili za kizee nadhani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom