Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Wanasemaga hivi mke kua changudoa kwa mumeo![emoji848][emoji126][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]!!hata akitoka nje nafsi imsute but nowadays mtu akiloewa ndo baasi kashapata usajli wa kudumu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawatapenda upite maskioni mwao[emoji4]
 
Unajua vizuriii
Kwanza zinakuwa nyepesi kiaina na dudu inakuwa kama inapauka Pauka kwa tindikali za huko chini. Na usimamaji wake sio kama wa bao la kwanza
Vipi khs taste yake Sasa?

Mi aligoma kunambia akasema wee jichanganye TU mi ntajua, na kweli huwa anajua

Sema Mimi Mara zote kisingizio huwa Mpira namrushia wife uko home[emoji4]
 
Back
Top Bottom