Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Yaani mimi za kuchoshana ndio siwezi kwakweli nikichoka nimechoka yaani siwezi
Ha ha ha...
Hakuna asiyechoka bhana.

Yategemea na kiwango Cha uchokaji Shunie

Sio fair useme eti kibao kimoja tu afu chakivivu vivu eti useme umeshachoka[emoji4]

Hivo Unakua unamkata morali mwenzio bhana[emoji4]
 
On point

Watu mnakesha kufanya sex usiku na mchana hivi hata huwazi mambo mengine ya maana au hamzungumzi jambo lolote la msingi

Huyo mchepuko msingi kiuno kwa kweki sio bure
Ni mahaba TU mkuu Skylar

Kwani wee nyege zikikupanda unakua na MDA maalum?
 
Ni mahaba TU mkuu Skylar

Kwani wee nyege zikikupanda unakua na MDA maalum?
Sema tu majasmine ana akili fupi, angekua mtu mwenye upeo tayaei alishagundua kwamba unamtumia tu kujiridhisha kingono lakini hakuna future wala malengo zaidi ya kubinuka

Bad enough basi yeye hata hatumii akili akatafuta kitu cha kujisimamia, ameridhika na 10,000 unazomwachia

Sema wanawake tumetofautiana sana akiki aisee
 
Kuna watu wanajua kutumia sehemu zao za siri sio poa!
Mkuu Mimi nakuombea sana maisha maref mno.

Yaan kabla hujafa ukampate mwanamke Kama mchepuko wangu akakufungulie Dunia.[emoji4]

UTAKUJA NISHUKURU SANA BAADAE[emoji4]
 
Mkuu Mimi nakuombea sana maisha maref mno.

Yaan kabla hujafa ukampate mwanamke Kama mchepuko wangu akakufungulie Dunia.[emoji4]

UTAKUJA NISHUKURU SANA BAADAE[emoji4]
Mkuu maombi yako yashindwe, simtaki wa hivyo...sitaki stress mimi.
 
Porn porn porn


Ila mnunulie frige hata la lita 150 huyo mcheps

Miaka hii ya kunywa maji kwenye ndoo!!!!!
Ngoja nizichange mkuu,

Majukumu Ni mengi na pesa mingi San nmetumia January hii Mambo ya Ada za wanangu, Kodi za nyumba,fremu n.k[emoji4]
 
Nahofia kumuoa maana tabia zake Kama VIGEZO vya wife material bado kabisa.

Kua MKE Mimi naamini Ni Zaid ya kua fundi wa ngono kitandani

Kwaiyo ngoja abaki Un-official maybe atakuja jirekebishe baadae baadae.

kwaSasa hapana,
Nahofia tutasumbuana Sana uyu,[emoji4]
Hakuna anaekuja full package.

Na ndo maana hata Mrs hayupo complete. Anaweza kuwa wife material but zile ladha unazotafuta nje hana.

Be a man about it. Nyie ndo wanaume bana mnaweza sana kuturekebisha mkiamua kusimama katika uanaume wenu.

Hujaona some women with questionable characters wanaolewa na kutulia kwenye ndoa? Its because wanaume wao walisimama imara.

Do it.
 
Back
Top Bottom