Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Sanaaa
Huna wivu ila una ego sana
Kwamba huwez vumilia mbulula yeyote ifaidi unachofaidi....ref ishu za polisi
Jeur na Tambo TU za status TU ndo kilichonikera pale.

Ingekua kimya kimya nisingehangaika nae vile[emoji4]
 
Back
Top Bottom