Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? πŸ€”

Bro umekamatwa, hauwezi kung'atuka hapo bila damu ya YESU KRISTO. Nakuombea utoke katika hiko kifungo, utafanikiwa kutoka kama nafsi yako iko tayari ikiongozwa na uwezo wa akiri yako kuanzia sasa
 
Bro umekamatwa, hauwezi kung'atuka hapo bila damu ya YESU KRISTO. Nakuombea utoke katika hiko kifungo, utafanikiwa kutoka kama nafsi yako iko tayari ikiongozwa na uwezo wa akiri yako kuanzia sasa
Mkuu, nisaidie kupata damu ya yesu kristo, ili nipate kuokolewa πŸ™‚πŸ™‚
 
Oya wewe chapa mpaka itoe vumbi awe jini au aliens atajua yeye mwenyewe wewe chakata Tu na nafata mashart yake Mambo madogo Hayo

Inaonekana mchepuko hela haombi huyo
 
Oya wewe chapa mpaka itoe vumbi awe jini au aliens atajua yeye mwenyewe wewe chakata Tu na nafata mashart yake Mambo madogo Hayo

Inaonekana mchepuko hela haombi huyo
Kwenye hela, huwa haniombi kabisa labda nijiongeze mwenyewe tu.

. Shida ni hapo tu kwenye mazingaombwe πŸ™‚πŸ™‚
 
Mkuu ndugu zako wasije kukutafuta tu..

Funga ndoa mazima kaanze Maisha mapya na jini.
 
Mkuu ndugu zako wasije kukutafuta tu..

Funga ndoa mazima kaanze Maisha mapya na jini.
Nisije pelekwa baharini mazima, wana JF, Nitawakumbuka sana πŸ˜€πŸ˜€.
 
Hao watu wake a.k.a wadudu wake a.k.a majini maana yake huyo ni mtu jini.
Tunaposema mtu wa Mungu maana yake Roho wa Mungu a.k.a Roho Mtakatifu anakaa ndani yake.
Huyo ni mtu wa Ibilisi nashangaa amekuweka wazi lakini bado unahangahika naye.
3 yrs later nakuona uko mahali pabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…