bila shaka ulimsimulia ulivyozamaga kwenye swimming pool ndio maana anakuita kenge majiπ€£Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
ebu potea ukoπ«unajiaibisha si mimi kukuaibisha!
Nitumie namba za huyo mchepuko nataka nimpe ushauri wa kisaikolojia!Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Lijinga sana, unampiga mtoto wa kike???? IdiotAnajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!
Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!
Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!
Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
We pundamilia usinihamishie jina lakoMbona mwenzio Half american ana jua kabiSa yeye ni kenge maji π π€£
Wazinzi wamefumaniana .....Tulia we kenge mMA,π
Sasa mkuu kuitwa kenge maji ndio umpige, kakufumania, anachapata kwako ndio na mwenzie kakifata, we chuna akitaka atakutafuta, hataki kausha chapa ndonga huyo mchepuko mwingine.
Au we ndio unampenda sana huyo mchepuko?
We ndo mchepuko wenyewe au?Ona jinga hili
ππ π πNitumie namba za huyo mchepuko nataka nimpe ushauri wa kisaikolojia!