Huyu mchepuko nimfanye nini?

Huyu mchepuko nimfanye nini?

Acha utoto asee

Kwan vyuo hajifunguliwa
 
Ningekua jirani hapo ungekula mbata mpaka unye.
Huo ndio ushauri.
Kenge maji we nasisitiza :KENGE MAJI"
 
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!

Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!

Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!

Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
bila shaka ulimsimulia ulivyozamaga kwenye swimming pool ndio maana anakuita kenge maji🤣
 
Kuitwa malaya umekubali ila umemaindi hilo kenge maji?
 
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!

Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!

Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!

Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Nitumie namba za huyo mchepuko nataka nimpe ushauri wa kisaikolojia!
 
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu!

Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta nikamtia kerebu!

Ndo kwanza akawaka mdomo matusi yakawa yanamtoka, mara aniite mimi nyumbu, mara jitu la hovyo, nikamvuta tena nikamramba kichwa cha pua akakimbia!

Kinachoniuma kwanini aniite kenge maji? natafuta jambo lakumuadabisha zaidi, sasa nimfanye nini..?
Lijinga sana, unampiga mtoto wa kike???? Idiot
 
Tulia we kenge mMA,😂

Sasa mkuu kuitwa kenge maji ndio umpige, kakufumania, anachapata kwako ndio na mwenzie kakifata, we chuna akitaka atakutafuta, hataki kausha chapa ndonga huyo mchepuko mwingine.

Au we ndio unampenda sana huyo mchepuko?
Wazinzi wamefumaniana .....
 
Mbona una micheps wengi namna hii? Nilidhani mke + mcheps mmoja wanatosha kuifurahisha nafsi yako na swala zima la tamaa za mwili, wawili +wife mbona kama wengi sana.
 
Kwahiyo kakuita kenge maji???hivi unamjua kenge maji kweli?hhahahahhhaha
 
Back
Top Bottom