Huyu Mchezaji Hafai, na Ataenda Motoni kwa Dhambi hii. Subirini tu muone

Huyu Mchezaji Hafai, na Ataenda Motoni kwa Dhambi hii. Subirini tu muone

Kiungo mwenye spidi ya konokono ambaye hucheza vizuri akikutana na vitimu vidogo. Pale anapokutana na timu zinazo eleweka uwa hajulikani kama yupo uwanjani.
Kweli kabisa sasa unapewa mbio kama za moloko na kisinda zinafaida gani kwa mechi ya jana huyo muloko angekuwa na akili kama za basi alikuwa anaondoka na hatrick lakini yeye anawaza mbio tu hana tofauti na kibu denis na mzamiru mi nawaita wachezaji ambao hawana akili.
 
Kweli kabisa sasa unapewa mbio kama za moloko na kisinda zinafaida gani kwa mechi ya jana huyo muloko angekuwa na akili kama za basi alikuwa anaondoka na hatrick lakini yeye anawaza mbio tu hana tofauti na kibu denis na mzamiru mi nawaita wachezaji ambao hawana akili.
Habari za kisinda kamuulize Onyango.
 
Napita wakuu
JamiiForums1233559580.jpg
 
Kweli kabisa sasa unapewa mbio kama za moloko na kisinda zinafaida gani kwa mechi ya jana huyo muloko angekuwa na akili kama za basi alikuwa anaondoka na hatrick lakini yeye anawaza mbio tu hana tofauti na kibu denis na mzamiru mi nawaita wachezaji ambao hawana akili.
Mtoe mzamiru hapo....
 
Kwa sifa hizi ulizommwagia Chama, Makolo wangekuwa wanapata ushindi kwa [emoji817].
Ndo maana Eymael alisema ninyi ni Mbwa na Nyani. Maana Pamoja na kuwa na Mesi bado Barca walikuwa wanafungwa. Argentina walikuwa na Maradona hujawepo hata kiunoni mwa babayo na walikuwa wanafungwa.

Manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu... Wengine ni mazezeta.🤣
 
Mtumwenyechiba anauboraganihuyo
Ni Yanga wengi shule hamna? Yaani kama umeshindwa kujua hata alama au vituo utaujua mpira kweli? Hujui kuandika hujui kila kitu. Kilaza kama alivyosema Manara na Mbwa kalama alivyosema kocha wenu Luc Eymael
 
Acheni kutukuza wageni!

Mrisho Ngasa aliwahi kupiga back to back Hat tricks tena mechi moja alipiga goli 4 nadhani, kwenye Michuano ya CAF enzi hizo!

Of course ilikuwa game na wachovu wa Shelisheli, Comoro na Madagascar huko, type ya hao Zalan FC.
Chama ni mzawa au sio?
 
Back
Top Bottom