Huyu mchezaji Kiwango chake kinazidi Kukua Kila siku katika mechi za Kimatifa

Huyu mchezaji Kiwango chake kinazidi Kukua Kila siku katika mechi za Kimatifa

Nadhani Azam fc. Walijichanganya kuwauza hawa wachezaji.
Bocco
Nyoni
Gadiel
Manula
NA kapombe. Huenda wangekuwa wanawakirisha nchi wakiwa na Uzi wa blue. All in all wote wanajielewa.hongera k wao
Azam kumejaa mamluki ambao kwa asili ni aidha wanashabikia Yanga au Simba....somehow wanashiriki kuihujumu timu kwenye decision making process....sikuelewa maamuzi ya kuwatoa wachezaji kwenda kwa local competitors wao...Bocco, Wawa, Erasto(ananikumbusha Maximo alivyomuibua kutoka Burundi) etc....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Azam kumejaa mamluki ambao kwa asili ni aidha wanashabikia Yanga au Simba....somehow wanashiriki kuihujumu timu kwenye decision making process....sikuelewa maamuzi ya kuwatoa wachezaji kwenda kwa local competitors wao...Bocco, Wawa, Erasto(ananikumbusha Maximo alivyomuibua kutoka Burundi) etc....


Sent using Jamii Forums mobile app
Wawa hajatokea Azam moja kwa moja, alikwenda el merreikh ndio simba wamemchukulia huko.
 
Kumbe bado unanuka maziwa mtoto mdogo...au umekuja mjini juzi juzi... Tanzania kuna mashabiki wawili tu. Simba na Yanga.

Mkuu Mimi siko vyura wala Mikia.
Mimi ni Azam ,wadau wa soka humu toka nimejiunga 8 years ago wanajua nashabikia lambalamba na mwanangu ndetichia .
Nimeanza kuishabikia Azam mwaka wa kwanza IPO ligi kuu
 
Mkuu ulishaambiwa hapa hakuna cha Boko, Samatta wala Msuva, kamati ya ushindi ndio kila kitu!!!
Ila kamati ya ushindi iongeze umakini kidogo hasa kwa yule jamaa anayemulika Tochi kipa wa Timu pinzani aongeze shabaha ya kulenga macho ya Kipa na sio kumulika Tochi kizembe.
 
Kumbe bado unanuka maziwa mtoto mdogo...au umekuja mjini juzi juzi... Tanzania kuna mashabiki wawili tu. Simba na Yanga.
kwani sisi ambao tunanuka maziwa ya mtoto hatutakiwi kushabikia timu zingine tofauti na hizo?
Au ulitaka wote tuwahi kuzaliwa ili tushabikie hizo timu zenu?
 
Nadhani sijakusema kwa ubaya... Nmeelewa kuwa mliokuja late dsm na wale wanaonuka maziwa ndo wanaweza kuwa na team nyingine .siyo kosa hata kidogo...ni haki yako ya kikatiba 😁😁😁

kwani sisi ambao tunanuka maziwa ya mtoto hatutakiwi kushabikia timu zingine tofauti na hizo?
Au ulitaka wote tuwahi kuzaliwa ili tushabikie hizo timu zenu?
 
Kwa hiyo wewe ni gongo wazi?[emoji1][emoji1][emoji1]
Hapa ndipo umeharibu shabiki wa mikia, mwanzo nilidhani ni uzi serious, kumbe ni utani mwingine

Huyo babu hana room ya ku improve, ameshakuwa kikongwe. Hata Afcon amewatengenezea tu njia akina Ajib, yeye haendi ng'oo ....... Mark my word

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mchezaji asiye na maneno mengi, ambaye hakuwahi kupendwa sana na watanzania wengi. Lakini ni mchezaji ambaye tunamwona akizidi kuimalika kwa kiwango kikubwa sana kadri siku zinavyoenda

John Bocco... Na akiwa na mafanikio mazuri katika mechi za kimataifa kucheza kwa utulivu na kujiamini hata kuweza ku assist kwenye mechi nyingi za simba kimataifa na hata jana Taifa Stars na kuibuka Man of the match.

View attachment 1053474
Nimemuangalia mechi mbili za Simba za kimataifa na mechi ya stars dhidi ya Uganda,, nimegundua nilikuwa namu underate Sana Bocco!
Anacheza mpira kwa utulivu na umakini mkubwa mno,,, hana tamaa ya kufunga,, mpishi mmoja mzuri mno,, anajiamini akiwa na mpira!
Sio rahisi kwa ma streka wa kibongo kutoa assist maeneo anayotoa Bocco!
Nimemkubali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Azam fc. Walijichanganya kuwauza hawa wachezaji.
Bocco
Nyoni
Gadiel
Manula
NA kapombe. Huenda wangekuwa wanawakirisha nchi wakiwa na Uzi wa blue. All in all wote wanajielewa.hongera k wao
Mpango mkakati wa kuisaidia mikia baada ya EDA ya muda mrefu..
 
Mpango mkakati wa kuisaidia mikia baada ya EDA ya muda mrefu..
imagine kama Azam fc ingekuwa nao kisha wakatafuta kina kipre wengine. Ungekuwa one of best in Tanzania. Eti saa hii wanajivunia kagame na mapinduzi cup.
 
Back
Top Bottom