shylock
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 795
- 1,334
Mi ninachoamini kwenye mpira ni uwekezaji. Yaaan mshiko wa maana na si vinginevyo kitu ambacho simba wamekiona.
Kama utakumbuka baadhi ya wachambuzi akiwemo shaffih. Walikuwa wakiibeza sana simba msimu ulioisha kwamba wametumia 1.3billions. Ikawa inaonekana kama simba wanapoteza tu hela bure but now matunda ya Ile 1.3b inaonekana
Kama utakumbuka baadhi ya wachambuzi akiwemo shaffih. Walikuwa wakiibeza sana simba msimu ulioisha kwamba wametumia 1.3billions. Ikawa inaonekana kama simba wanapoteza tu hela bure but now matunda ya Ile 1.3b inaonekana