Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hapo kwenye 21 tulipigwa sana, jitu lina hadi kutu eti miaka 21 [emoji23]Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Hahaha, alichokuwa anafanya yeye ni kunyoa tu ndevu Kila siku hadi makovu ya ndevu yakawa yanaonekana, akaona isiwe tabu haya mabaka dawa yake mkorogo TuIla hapo kwenye 21 tulipigwa sana, jitu lina hadi kutu eti miaka 21 [emoji23]
Huwajui Wanaija?Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Acha ukanjanja wa sokaBoss sasa hapo unabisha nini mzee?
Huyo ana mwili wakizungu tu ila kiumri ni mtoto sana
Jibu la kizalendo hili na mkopo unaombea kabisaaaa😂😂Boss sasa hapo unabisha nini mzee?
Huyo ana mwili wakizungu tu ila kiumri ni mtoto sana
Daaaah mkuu wwee mgomvi mpaka kiduk wa yang umemzungumziaNdio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha, alichokuwa anafanya yeye ni kunyoa tu ndevu Kila siku hadi makovu ya ndevu yakawa yanaonekana, akaona isiwe tabu haya mabaka dawa yake mkorogo Tu
sometimes tunadanganya tu kwenye kupunguza umri lakini inafika wakati mwili unakataa,mtu kama Bocco mwili ushakataa na hawezi kurudi kwenye prime yakeWe mcheki kati ya mwisho wa pua na shavu kuna mstari mbonyeo.uo mstari mbonyeo uwa unatokea kuanzia fote na ushee.
Huyu kiumri analingana na Matola.Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Hapo Inaonyesha kazaliwa 99 kwa hiyo ana miaka 32Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648