daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Hata akisema ana miaka 18Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Tunachotaka kuona ni uwezo wake kwenye dimba